• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

Kaunti ya Lamu yatangaza kuchelewa kwa mishahara ya Novemba kwa wafanyakazi wake

Na KALUME KAZUNGU JUMLA ya wafanyakazi 1,010 wa serikali ya Kaunti ya Lamu hawajapokea mishahara yao ya Novemba 2019. Hii ni kufuatia...

ODONGO: Vyama vya wafanyakazi vimeshindwa kutetea wanachama

NA CECIL ODONGO DALILI zinaonyesha kwamba miungano mbalimbali ya kuwatetea wafanyakazi nchini imepoteza makali yake na sasa haiwezi...

MBURU: Ni wazi, viongozi wa wafanyakazi hawana haja nao

Na PETER MBURU HUKU hali ya maisha kwa Wakenya wa kawaida ikizidi kuharibika kila siku kutokana na mzigo mkubwa wa ushuru na gharama ya...

TOM MBOYA: Mtetezi wa haki za wafanyakazi nchini na kimataifa

Na KENYA YEARBOOK Thomas Joseph Mboya atakumbukwa kama mmoja wa mawaziri machachari na wajasiri ambao Kenya imewahi kupata. Wakati wa...

Wafanyakazi kaunti zote waunda chama cha kujitetea

Na PETER MBURU WAFANYAKAZI wa kaunti zote nchini wameunda muungano wa kikazi wa kuwatetea kutokana na kudhulumiwa kikazi na kupigwa...