Tag: wafanyakazi
- by adminleo
- December 4th, 2019
Kaunti ya Lamu yatangaza kuchelewa kwa mishahara ya Novemba kwa wafanyakazi wake
Na KALUME KAZUNGU JUMLA ya wafanyakazi 1,010 wa serikali ya Kaunti ya Lamu hawajapokea mishahara yao ya Novemba 2019. Hii ni kufuatia...
- by adminleo
- September 1st, 2019
ODONGO: Vyama vya wafanyakazi vimeshindwa kutetea wanachama
NA CECIL ODONGO DALILI zinaonyesha kwamba miungano mbalimbali ya kuwatetea wafanyakazi nchini imepoteza makali yake na sasa haiwezi...
- by adminleo
- May 2nd, 2019
MBURU: Ni wazi, viongozi wa wafanyakazi hawana haja nao
Na PETER MBURU HUKU hali ya maisha kwa Wakenya wa kawaida ikizidi kuharibika kila siku kutokana na mzigo mkubwa wa ushuru na gharama ya...
- by adminleo
- April 14th, 2019
TOM MBOYA: Mtetezi wa haki za wafanyakazi nchini na kimataifa
Na KENYA YEARBOOK Thomas Joseph Mboya atakumbukwa kama mmoja wa mawaziri machachari na wajasiri ambao Kenya imewahi kupata. Wakati wa...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Wafanyakazi kaunti zote waunda chama cha kujitetea
Na PETER MBURU WAFANYAKAZI wa kaunti zote nchini wameunda muungano wa kikazi wa kuwatetea kutokana na kudhulumiwa kikazi na kupigwa...