Tag: WAFUNGWA
- by T L
- November 10th, 2021
Wafungwa wataka haki sawa na raia huru 2022
Na PHILIP MUYANGA WAFUNGWA wanne wameishtaki Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) wakitaka kukubaliwa kupigia kura magavana, maseneta,...
Hofu wafungwa 118 wakiambukizwa corona Bungoma
Na BRIAN OJAMAA HALI ya wasiwasi imezuka katika Gereza la Bungoma baada ya wafungwa 118 kuthibitishwa kuambukizwa virusi vya...
- by adminleo
- March 10th, 2020
Wafungwa 130 katika gereza la Thika watuzwa vyeti elimu ya Biblia
Na LAWRENCE ONGARO GEREZA limetajwa kama mahali pa kurekebisha tabia na kupalilia matendo mema wala sio mahali pa...
- by adminleo
- April 7th, 2019
Wafungwa wadai haki ya ngono na mishahara
Na WACHIRA MWANGI Wafungwa katika jela la Shimo la Tewa, Kaunti ya Mombasa wanataka wapewe haki zao za tendo la ndoa na kuongezewa...
- by adminleo
- December 24th, 2018
Krismasi: Wafungwa wafurahia mapochopocho na vinywaji
Na MAGDALENE WANJA Wafungwa katika gereza la Nakuru GK walipata nafasi ya kusherehekea Krismasi ya mapema hapo Jumapili baada ya...
- by adminleo
- September 11th, 2018
Vipaji vyachochea KPL kuanzisha ligi kuu ya wafungwa
Na Geoffrey Anene Baada ya kupata kuna talanta ya hali ya juu inayoozea katika majela ya Kenya, kampuni ya KPL, ambayo inaendesha Ligi Kuu...
- by adminleo
- August 22nd, 2018
Wafungwa wasusia chakula siku ya pili wakidai kuteswa
Na STELLA CHERONO MGOMO wa wafungwa wa gereza la Industrial Area, Nairobi uliingia siku yake ya pili jana ambapo wamekuwa wakisusia...
- by adminleo
- February 25th, 2018
Serikali yalemewa na gharama ya kutunza wafungwa, wale wa makosa madogo kuachiliwa
Na JOSEPH WANGUI WAFUNGWA wa makosa madogo wanatarajiwa kuanza kuachiliwa huru huku serikali ikijizatiti kupunguza gharama ya kuwatunza...