Tag: waislamu
Waislamu waenda Saudia kwa Umrah
Na CECIL ODONGO BARAZA Kuu la Waislamu Nchini (SUPKEM) limeshukuru serikali ya Saudi Arabia kwa kufungua baadhi ya maeneo matakatifu ya...
Waislamu walaani MUHURI kuajiri ‘mtetezi wa mashoga’
Na FARHIYA HUSSEIN JAMII ya Waislamu nchini imeomba Baraza Kuu la Waislamu la Kenya (SUPKEM) liingilie kati kuhusu uamuzi wa shirika la...
Mombasa yatoa kanuni za sherehe za Idd kuzuia maambukizi
Na SIAGO CECE SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa imetangaza masharti mapya ya kuzuia ueneaji wa virusi vya corona wakati Waislamu...
Waislamu waungana kupinga BBI
Na BENSON MATHEKA VIONGOZI wa dini ya Kiislamu wamesisitiza kauli yao ya awali kuwa mchakato wa kubadilisha katiba kupitia Mpango wa...
ALI HASSAN KAULENI: Sisi Waislamu tunazo sherehe zetu tunazopaswa kuadhimisha kwa misingi ya dini
Na ALI HASSAN Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo. Tumejaaliwa leo hii, siku hii kuu,...
Wito Waislamu wajihadhari na hafla za mazishi
Na LEONARD ONYANGO BARAZA Kuu la Waislamu nchini (Supkem), limewataka Waislamu nchini kuendelea kujihadhari wakati wa kuandaa miili ya...
- by adminleo
- May 31st, 2019
Waislamu wengi wajitokeza Ijumaa ya mwisho Ramadhani
Na MOHAMED AHMED WAISLAMU wamejumuika katika misikiti mbalimbali humu nchini kwa ajili ya swala ya Ijumaa mwisho ya mwezi Mtukufu wa...
- by adminleo
- March 10th, 2019
Sunni Anjuman wanavyoinua maisha ya Waislamu maskini
NA ABDULRAHMAN SHERIFF CHAMA cha Waislamu wa Sunni Anjuman kimeimarisha jitihada zake za kuinua hali ya maisha ya wakazi wa ukanda wa...
- by adminleo
- January 28th, 2019
Waislamu wakosoa mbinu ya ugavi wa fedha za kaunti
Na CECIL ODONGO VIONGOZI wa Dini ya Kiislamu wamepinga mtindo mpya uliopendekezwa na Tume ya Ugavi wa mapato nchini (CRA) wa kugawa...
- by adminleo
- July 18th, 2018
Utata kuhusu safari za Mecca Waislamu wakikosa paspoti
Na CECIL ODONGO ZAIDI YA Wakenya 2,000 waumini wa dini ya Kiislamu huenda wakakosa kwenda Hijjah mjini Mecca hata baada ya serikali...
- by adminleo
- July 17th, 2018
Afueni kwa Waislamu tarehe ya kusafiri Mecca kusongeshwa
Na CECIL ODONGO Waislamu wametakiwa kutokuwa na hofu wala taharuki baada ya makataa ya kutimiza matakwa yote kusafiri kuenda kuhiji...
- by adminleo
- February 14th, 2018
Waislamu watakiwa kutumia kondomu
[caption id="attachment_1494" align="aligncenter" width="800"] Mipira ya kujikinga dhidi ya magonjwa ya zinaa na Ukimwi almaarufu kondomu....