Tag: waititu
- by adminleo
- December 19th, 2019
Baba Yao atiwa adabu na madiwani
NA CHARLES WASONGA MADIWANI wa Kaunti ya Kiambu wamepitisha kura ya kumwondoa mamlakani Gavana Ferdinand Waititu Baba Yao kwa matumizi...
- by adminleo
- August 19th, 2019
TAHARIRI: Washukiwa wa ufisadi hawafai kuingia ofisini
NA MHARIRI Mbunge wa Ugunja Opiyo Wandayi anataka bunge libuni sheria ambayo itawafanya maafisa wa serikali watakaoshtakiwa kuhusu...
- by adminleo
- August 9th, 2019
Nyoro amnyorosha Baba Yao
Na RICHARD MUNGUTI NDOTO ya Gavana wa Kiambu, Ferdinand Waititu kurudi kazini imegonga mwamba baada ya Mahakama Kuu kuamuru asalie...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Korti kuamua Agosti 8 ikiwa Waititu ataendelea na kazi
Na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa Kiambu Ferdinand Waititu Jumatatu alijitetea vikali katika Mahakama Kuu akitaka kuruhusiwa kutekeleza...
- by adminleo
- August 3rd, 2019
Waititu akagua miradi ya maendeleo Wangige na Kikuyu
Na SIMON CIURI na MARY WANGARI IMEKUWA ni kazi kama kawaida kwa Gavana wa Kiambu Ferdinand Waititu ambapo Jumamosi amekagua miradi kadha...
- by adminleo
- July 31st, 2019
Mahakama yamkausha Baba Yao
RICHARD MUNGUTI Na BENSON MATHEKA GAVANA wa Kiambu, Ferdinard Waititu Baba Yao, Jumanne alipata pigo baada ya mahakama kumzuia kuingia...
- by adminleo
- July 29th, 2019
Mshukiwa alaani kesi ya Waititu kuvuruga harusi yake
Na RICHARD MUNGUTI MMOJA wa washukiwa 12 wanaoshtakiwa pamoja na gavana wa Kiambu Ferdinand Waititu 'Baba Yao' kwa kashfa ya Sh588...
- by adminleo
- July 29th, 2019
BABA YAO: Nilikuwa humu humu tu, sikuhepa!
Na ANITA CHEPKOECH BAADA ya mchezo wa paka na panya kushuhudiwa kati ya Gavana wa Kiambu Ferdinand Waititu na maafisa wa Idara ya...
- by adminleo
- June 14th, 2019
Hakimu katika kesi ya Waititu ajiuzulu
Na BENSON MATHEKA na SAM KIPLAGAT HAKIMU Mkazi wa Mahakama ya Kiambu Brian Khaemba amejiuzulu Ijumaa saa chache baada ya kusimamishwa...
- by adminleo
- June 10th, 2019
Baba Yao atumia Sh6m kuwatibu wanabodaboda waliopata ajali
Na LAWRENCE ONGARO WAHUDUMU wa bodaboda wapatao 55 waliopata ajali watanufaika na ufadhili wa matibabu kutoka kwa Serikali ya Kaunti ya...
- by adminleo
- June 7th, 2019
Nina pesa nyingi kama njugu – Waititu
Na MWANGI MUIRURI GAVANA wa Kiambu, Ferdinand Waititu, amewaonya mahasidi wake wa kisiasa kuwa lau wangeelewa ukwasi halisi alio nao,...
- by adminleo
- June 2nd, 2019
Tuliamka asubuhi kukuchagua lakini umetusaliti, Waititu azomewa Githurai
Na SAMMY WAWERU GAVANA wa Kiambu Ferdinand Waititu Jumapili alikabiliwa na kibarua kigumu kusalimu umma uliomkemea vikali Githurai 45...