• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 7:55 AM

Wamaasai wataka operesheni Laikipia isitishwe

Na RICHARD MUNGUTI BARAZA la Jamii ya Maasai limewaliwasilisha kesi mahakama kuu likiomba operesheni ya maafisa wa usalama katika Kaunti...

Wamaasai wanavyovumisha utalii kupitia sherehe za Moran

Na GEORGE SAYAGIE KAUNTI ya Narok inatarajiwa kuwa kivutio kikubwa cha utamaduni kwa miezi mitatu hadi minne ijayo, ukoo wa Purko...

Seneta Ledama Ole Kina aruhusiwa kuvaa mavazi ya kimaasai bungeni

Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Seneti Kenneth Lusaka ametoa uamuzi kwamba maseneta wanaruhusiwa kuvalia mavazi ya kitamaduni...

Ole Lenku aidhinishwa kuwa msemaji wa jamii ya Wamaasai

Na Stanley Ngotho BUNGE la Kaunti ya Kajiado, limeidhinisha kutawazwa kwa Gavana Joseph Ole Lenku kama Msemaji wa jamii ya Maasai,...

Tempes kijana anayeandaliwa kuwarithi Ole Ntimama na Nkaisery Umaasaini

Na WANDERI KAMAU JAMII ya Wamaasai imeanza harakati za kutafuta mrithi na msemaji wake kisiasa ielekeapo 2022, kwenye hatua inayolenga...

STANLEY OLOITIPTIP: Simba wa siasa za Maasai kabla na baada ya uhuru

Na KYEB KUANZIA mwaka wa 1963 na 1983, Stanley Shapashina Ole Oloitipitip alitawala siasa za janibu za Wamaasai kama simba kwani alikuwa...

Shujaa wa vita dhidi ya ukeketaji katika jamii ya Wamaasai

Na CHARLES WASONGA HUKU ulimwengu ukiadhamisha "Siku ya Kimataifa ya Vita dhidi ya Ukeketaji (International Day of Zero Tolerance to...