Tag: wanabodaboda
Serikali kutumia vijana na wanabodaboda kuendesha kampeni ya amani kuelekea 2022
Na CHARLES WASONGA SERIKALI itatumia makundi ya vijana na waendeshaji bodaboda kuendesha mipango ya kudhibiti ghasia zinazohusiana na...
Kaunti ya Nyeri yalenga kuchanja wanabodaboda 2,000
Na SAMMY WAWERU KAUNTI ya Nyeri inalenga kuwapa wahudumu wapatao 2, 000 wa afya chanjo ya Homa ya virusi vya Corona. Gavana wa Kaunti...
MAUYA OMAUYA: Serikali idhibiti wanabodaboda, vinginevyo tutajuta
Na MAUYA OMAUYA Siku moja taifa hili litagutuka na kupata miji na vijiji vimetekwa na magenge yanayojulikana wazi lakini serikali...
Tunatoa huduma muhimu, tupewe chanjo ya corona, wasema wanabodaboda
Na LAWRENCE ONGARO WAHUDUMU wa bodaboda mjini Thika wameitaka serikali kuwajumuisha kwa vikundi vitakavyopokea chanjo ya...
Wanabodaboda Kiambu waahidiwa mikopo ya riba nafuu
Na LAWRENCE ONGARO KAUNTI ya Kiambu imeweka mikakati ya kuwainua wanabodaboda kibiashara kutokana na matukio ya hali ngumu ya kiuchumi...
LEONARD ONYANGO: Viongozi wasiwatumie wanabodaboda, wanahatarisha usalama wao
Na LEONARD ONYANGO TAKWIMU za Mamlaka ya Usalama Barabarani (NTSA) zinazoonyesha idadi ya wahudumu wa bodaboda walioangamia katika ajali...
- by adminleo
- December 24th, 2019
AKILIMALI: Mchana mkulima, jioni mwanabodaboda
NA SAMMY WAWERU Ukizuru eneo la Ngoingwa, Thika utalakiwa na mandhari ya hadhi ya juu kutokana na majumba ya kifahari...
- by adminleo
- June 10th, 2019
Baba Yao atumia Sh6m kuwatibu wanabodaboda waliopata ajali
Na LAWRENCE ONGARO WAHUDUMU wa bodaboda wapatao 55 waliopata ajali watanufaika na ufadhili wa matibabu kutoka kwa Serikali ya Kaunti ya...
- by adminleo
- June 9th, 2019
AJALI KIKOPEY: Wanabobaboda waitaka serikali ikarabati barabara
NA RICHARD MAOSI Waendeshaji bodaboda kutoka eneo la Kikopey Kaunti ya Nakuru wanaomba serikali kuu iwasaidie kuongeza matuta...