• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Serikali kutumia vijana na wanabodaboda kuendesha kampeni ya amani kuelekea 2022

Na CHARLES WASONGA SERIKALI itatumia makundi ya vijana na waendeshaji bodaboda kuendesha mipango ya kudhibiti ghasia zinazohusiana na...

Kaunti ya Nyeri yalenga kuchanja wanabodaboda 2,000

Na SAMMY WAWERU KAUNTI ya Nyeri inalenga kuwapa wahudumu wapatao 2, 000 wa afya chanjo ya Homa ya virusi vya Corona. Gavana wa Kaunti...

MAUYA OMAUYA: Serikali idhibiti wanabodaboda, vinginevyo tutajuta

Na MAUYA OMAUYA Siku moja taifa hili litagutuka na kupata miji na vijiji vimetekwa na magenge yanayojulikana wazi lakini serikali...

Tunatoa huduma muhimu, tupewe chanjo ya corona, wasema wanabodaboda

Na LAWRENCE ONGARO WAHUDUMU wa bodaboda mjini Thika wameitaka serikali kuwajumuisha kwa vikundi vitakavyopokea chanjo ya...

Wanabodaboda Kiambu waahidiwa mikopo ya riba nafuu

Na LAWRENCE ONGARO KAUNTI ya Kiambu imeweka mikakati ya kuwainua wanabodaboda kibiashara kutokana na matukio ya hali ngumu ya kiuchumi...

LEONARD ONYANGO: Viongozi wasiwatumie wanabodaboda, wanahatarisha usalama wao

Na LEONARD ONYANGO TAKWIMU za Mamlaka ya Usalama Barabarani (NTSA) zinazoonyesha idadi ya wahudumu wa bodaboda walioangamia katika ajali...

AKILIMALI: Mchana mkulima, jioni mwanabodaboda

NA SAMMY WAWERU Ukizuru eneo la Ngoingwa, Thika utalakiwa na mandhari ya hadhi ya juu kutokana na majumba ya kifahari...

Baba Yao atumia Sh6m kuwatibu wanabodaboda waliopata ajali

Na LAWRENCE ONGARO WAHUDUMU wa bodaboda wapatao 55 waliopata ajali watanufaika na ufadhili wa matibabu kutoka kwa Serikali ya Kaunti ya...

AJALI KIKOPEY: Wanabobaboda waitaka serikali ikarabati barabara

NA RICHARD MAOSI Waendeshaji bodaboda kutoka eneo la Kikopey Kaunti ya Nakuru wanaomba serikali kuu iwasaidie kuongeza matuta...