Tag: wanyama
- by adminleo
- May 21st, 2020
Nimefanyia wanasoka wa Harambee Stars mambo mengi makubwa bila ya kujigamba – Wanyama
Na CHRIS ADUNGO BAADA ya Victor Wanyama kulaumiwa kwa uongozi wake kambini mwa Harambee Stars na kucheza kwa kujituma na kujitolea zaidi...
- by adminleo
- January 31st, 2020
Bayer 04 Leverkusen ni miongoni mwa klabu zinazowania huduma za Wanyama
Na GEOFFREY ANENE BAYER Leverkusen (Ujerumani), Fiorentina na Lazio (Italia) na Rennes na Strasbourg (Ufaransa) zimejitosa uwanjani...
- by adminleo
- January 25th, 2020
Bei ghali ya Wanyama yafukuza wanunuzi
Na MWANDISHI WETU TOTTENHAM Hotspur italazimika kupunguza bei ya Victor Wanyama ili kuvutia wateja kabla ya soko kufungwa Januari 31...
- by adminleo
- October 15th, 2019
Wanyama aeleza kiini cha uhamisho kutoka Spurs kufeli
Na MWANDISHI WETU HUKU sehemu ndogo ya mashabiki sasa ikitaka Victor Wanyama apokonywe unahodha wa timu ya taifa ya Kenya, kiungo huyu...
- by adminleo
- August 14th, 2019
ATATUA UTURUKI? Maskauti wa Galatasaray watua London kutafuta huduma za Wanyama
Na CHRIS ADUNGO MASKAUTI wa kikosi cha Galatasaray Uturuki wametua jijini London, Uingereza kuanzisha mazungumzo yatakayomshuhudia...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Afisa wa Galatasaray kuzungumza na Spurs kuhusu Wanyama
Na GEOFFREY ANENE SIKU nne baada ya kipindi kirefu cha uhamisho nchini Uingereza kufungwa Agosti 9, ripoti kutoka nchini Uturuki...
- by adminleo
- August 1st, 2019
SIONDOKI SPURS: Wanyama akariri haiachi klabu yake licha ya uvumi
Na JOHN ASHIHUNDU NAHODHA wa Harambee Stars, Victor Wanyama amesisitiza kwamba haendi popote kinyume na uvumi unaoenea kwamba anajiandaa...
- by adminleo
- July 12th, 2019
Wanyama akutana na DP Ruto makala ya pili ya Wanyama Roya Charity Cup yakinukia
Na GEOFFREY ANENE NAHODHA wa timu ya soka ya Kenya ya wanaume, Victor Mugubi Wanyama alitembelea Dkt William Ruto katika afisi yake ya...
- by adminleo
- December 20th, 2018
Waandamana uchi kupinga mamilioni ya wanyama kuuawa ili kuunda mavazi
MASHIRIKA na PETER MBURU Barcelona, Uhispania WANAHARAKATI wa kutetea haki za wanyama pori walitekeleza maandamano wakiwa uchi na...
- by adminleo
- October 15th, 2018
Baada ya ushindi Kasarani, jeraha kumweka nje Wanyama Spurs
Na GEOFFREY ANENE VICTOR Wanyama ameingia katika orodha ya majeruhi ya Tottenham Hotspur baada ya kupata jeraha la misuli ya paja dhidi ya...
- by adminleo
- June 19th, 2018
Raila amtaka Wanyama asaidie kukuza vipaji nchini
Na CECIL ODONGO KIUNGO mkabaji wa Tottenham Hot Spurs Victor Wanyama ametakiwa asaidie kuimarisha viwango vya soka hapa nchini kwa...
- by adminleo
- May 26th, 2018
Sina tamaa ya kuhamia Liverpool wala Man United – Wanyama
Na GEOFFREY ANENE MKENYA Victor Wanyama amepuuzilia mbali kuondoka Tottenham Hotspur katika kipindi hiki kirefu cha uhamisho licha ya...