Tag: wavuvi
Wavuvi Lamu wadai maegesho yao yamenyakuliwa
Na KALUME KAZUNGU WAVUVI katika kisiwa cha Lamu wanaiomba serikali kuingilia kati na kuwasaidia kukomboa ardhi yao ya maegesho...
Wavuvi kuishtaki serikali upya kuhusu fidia
Na KALUME KAZUNGU ZAIDI ya wavuvi 4,000 walioathiriwa na mradi wa Bandari ya Lamu wanajiandaa kuelekea mahakamani wiki hii kuishtaki...
- by adminleo
- December 28th, 2019
Wanajeshi sasa lawamani kwa kutookoa wavuvi
Na WACHIRA MWANGI WAVUVI wanne kutoka Kaunti ya Tana River wamelaumu maafisa wa jeshi la wanamaji kwa kukataa kuwaokoa walipokwama...
- by adminleo
- July 17th, 2019
Wavuvi walalamikia ukosefu wa vifaa vya kisasa
NA KALUME KAZUNGU WAVUVI wa mpakani mwa Lamu na Somalia wanaitaka serikali ya kitaifa na ile ya kaunti kuwafadhili kwa vifaa vya kisasa...
- by adminleo
- June 3rd, 2019
Uvuvi karibu na Somalia wapigwa marufuku
NA KALUME KAZUNGU SERIKALI imewapiga marufuku wavuvi wa Lamu na Pwani kutekeleza shughuli zao za uvuvi kwenye mpaka wa Kenya na...
- by adminleo
- May 27th, 2019
TZ mbioni kuokoa wavuvi wake waliokamatwa na maafisa wa Kenya
NA WINNIE ATIENO SERIKALI ya Tanzania imeingilia kati kesi kuhusu raia wake wapatao 108 waliokamatwa na maafisa wa huduma za kulinda...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
Wavuvi 24 wa Kenya wabambwa na polisi UG
Na George Odiwuor WAVUVI 24 kutoka Kenya wanazuiliwa nchini Uganda baada ya kukamatwa kwa madai ya kukiuka sheria za uvuvi wakiendesha...
- by adminleo
- April 23rd, 2019
Wavuvi wavua mabomu 3 badala ya samaki
Na GEORGE ODIWUOR HALI ya taharuki imekumba wakazi katika ufukwe wa Kiumba, Kisiwani Rusinga, Homa Bay baada ya wavuvi kunasa mabomu...
- by adminleo
- September 11th, 2018
Kutumia kondomu kukinga simu ni hatari, wavuvi waonywa
Na WINNIE ATIENO WATAALAMU wa kiafya Mombasa Jumanne walionya wavuvi dhidi ya kutumia mipira ya kondomu kuzuia simu zao kuingia maji...
- by adminleo
- August 28th, 2018
Mchujo mpya kwa wavuvi 4000 kabla ya kufidiwa na LAPSSET
NA KALUME KAZUNGU WAVUVI zaidi ya 4000 walioathiriwa na ujenzi wa mradi wa bandari mpya ya Lamu (LAPSSET) sasa watalazimika kupitia upya...
- by adminleo
- August 17th, 2018
Wavuvi watatu wahofiwa kuzama baharini
NA KALUME KAZUNGU WAVUVI watatu hawajulikani waliko ilhali mwingine mmoja akiokolewa baada ya boti waliyokuwa wakivulia samaki kuzama...
- by adminleo
- May 1st, 2018
Serikali yaamriwa kuwalipa wavuvi mabilioni
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu imeamuru serikali iwalipe fidia ya Sh1.76 bilioni wavuvi wapatao 4,600 katika kaunti ya Lamu. Wavuvi hao...