Tag: WAZO BONZO
- by adminleo
- May 29th, 2018
Demu ararulia polo long’i akisaka hela
Na JOHN MUSYOKI KOSOVO, MACHAKOS KIZAAZAA kilizuka katika kilabu kimoja sehemu hii kidosho alipoangushiwa makofi na wateja kwa...
- by adminleo
- May 28th, 2018
Kisura aaibisha kakake kutangaza alifeli KCSE
Na TOBBIE WEKESA BUTERE, MUMIAS Kioja kilizuka katika eneo la hapa baada ya mzozo mkali kuzuka baina ya polo na dadake. Inadaiwa polo...
- by adminleo
- May 24th, 2018
Mlo wa bei ghali wafanya kidosho ajipate singo
Na LEAH MAKENA KARIOBANGI, NAIROBI KIDOSHO mmoja mtaani hapa aliachwa mataani baada ya kushindwa kudhibiti tamaa yake ya kupenda...
- by adminleo
- May 23rd, 2018
Weita mpenda ombaomba amwaga unga
Na DENNIS SINYO MECHIMERU MWANADADA aliyekuwa weita katika hoteli moja hapa alipoteza kazi yake kwa kuwa na mazoea ya kuwaomba wateja...
- by adminleo
- May 21st, 2018
Jamaa apiga demu teke kwa kudoea lishe huku akimkazia asali
Na JOHN MUSYOKI KITHYOKO, MACHAKOS KIOJA kilishuhudiwa mtaani hapa kalameni mmoja alipomfurusha demu kutoka kwake akimlaumu kwa...
- by adminleo
- May 17th, 2018
Buda amwachia mke uwanja agawe uroda anavyotaka, bila bughudha
Na TOBBIE WEKESA NETIMA, BUNGOMA Kalameni mmoja kutoka hapa alitoroka boma lake akidai alikuwa akiwindwa na polo aliyeshuku kuwa...
- by adminleo
- May 14th, 2018
Jombi aumia mazishini aking’ang’ania chakula
Na TOBBIE WEKESA SHIANDA, KAKAMEGA Kalameni mmoja eneo hili alipata majeraha usoni alipogongwa kwa sahani na jamaa mmoja...
- by adminleo
- May 13th, 2018
Mama ampokonya binti dume lenye hela
Na BENSON MATHEKA UTAWALA, NAIROBI MWANADADA wa hapa aliwashangaza wakazi kwa kumlilia mama yake akome kuchepuka na mpenzi...
- by adminleo
- May 10th, 2018
Gunia la miraa latolewa kanisani kama sadaka
Na LEAH MAKENA MUTUATI, MERU Polo wa eneo hili alishangaza waumini wa kanisa moja kwa kupeleka gunia la miraa kanisani kama sadaka ya...
- by adminleo
- May 9th, 2018
Pasta amfurusha mke kwa kutisha kusambaratisha kanisa
Na CORNELIUS MUTISYA NZAIKONI, MACHAKOS PASTA wa kanisa moja eneo hili alimfurusha mkewe akidai alikuwa amechoshwa na tabia yake ya...
- by adminleo
- May 8th, 2018
Kalameni amtoroka slay queen akihofia hasara zaidi
Na DENNIS SINYO LESSOS, ELDORET POLO mmoja mtaani hapa alimhepa kipusa alipoitisha pombe badala ya soda wakiwa katika eneo moja la...
- by adminleo
- May 7th, 2018
Jombi ageuzwa gumzo mtaani kwa kuoa ajuza
Na JOHN MUSYOKI KIVANDINI, MATUU KULIWA na kioja hapa mzee mmoja alipozomea mwanawe kwa kuoa mwanamke aliyemzidi umri....