Tag: William Ruto
- by T L
- January 30th, 2022
Raila na Ruto wararuana vikali Mlimani
Na WAANDISHI WETU NAIBU Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga jana walivamia eneo la Mlima Kenya kusaka kura za urais huku...
- by T L
- January 13th, 2022
Ruto aambia wapinzani waache vitisho
Na BENSON MATHEKA NAIBU Rais William Ruto amedai kuwa wapinzani wake wanatumia vitisho dhidi ya washirika wake kabla ya uchaguzi mkuu wa...
- by T L
- December 31st, 2021
Azimio la Raila lamtikisa Ruto
Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto alihisi uzito wa Azimio la Umoja, kundi linaoongozwa na kinara wa chama cha ODM, Bw Raila...
- by T L
- December 28th, 2021
Raila na Ruto bega kwa bega
Na WINNIE ONYANDO KINARA wa ODM Raila Odinga na Naibu Rais William Ruto kufikia sasa wako bega kwa bega kwenye kinyang’anyiro...
- by T L
- December 27th, 2021
Wahubiri wahimiza kampeni za heshima
Na JUMA NAMLOLA NAIBU Rais William Ruto na kinara wa ODM Raila Odinga, wameonywa dhidi ya kutumia kampeni zao za kusaka kura kuzua...
- by T L
- December 19th, 2021
Makahaba wapigania pesa za Ruto
Na PIUS MAUNDU MCHANGO wake Naibu Rais William Ruto wa Sh1 milioni kwa makahaba wa mji wa Mtito Andei, kaunti ya Makueni umezua...
- by T L
- December 3rd, 2021
Wataka suti tu!
ONYANGO K’ONYANGO NA LEONARD ONYANGO WANASIASA wakuu wanaomezea mate urais mwaka ujao wamesisitiza kuwa sharti walio katika mirengo...
- by T L
- December 2nd, 2021
Riziki: Wamlilia Ruto awatoe kwa ukahaba
Na WACHIRA MWANGI KIKUNDI cha wanawake wanaofanya kazi ya ukahaba katika Kaunti ya Mombasa, wamemwomba Naibu Rais William Ruto awasaidie...
- by T L
- November 30th, 2021
Ruto alikerwa na Raila – Wandani
Na IBRAHIM ORUKO NAIBU Rais William Ruto alikwepa kongamano la ugatuzi katika Kaunti ya Makueni Ijumaa wiki jana, kwa kukerwa na hadhi...
- by T L
- November 27th, 2021
Ruto asusia Kongamano la Ugatuzi
Na WAANDISHI WETU NAIBU RAIS William Ruto jana alisusia Kongamano la Saba la Ugatuzi lililoandaliwa katika Kaunti ya Makueni licha ya...
- by T L
- November 21st, 2021
Ngome 4 zawanyima usingizi
Na BENSON MATHEKA WAGOMBEAJI WAKUU wa urais kwenye uchaguzi mkuu wa 2022, Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga,...
- by T L
- November 21st, 2021
Majibizano hatari kwa Ruto Mlimani
Na WANDERI KAMAU MAJIBIZANO makali kati ya Naibu Rais William Ruto na baadhi ya wanasiasa katika ukanda wa Mlima Kenya, yanatishia...