• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 7:20 PM

Raila na Ruto wararuana vikali Mlimani

Na WAANDISHI WETU NAIBU Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga jana walivamia eneo la Mlima Kenya kusaka kura za urais huku...

Ruto aambia wapinzani waache vitisho

Na BENSON MATHEKA NAIBU Rais William Ruto amedai kuwa wapinzani wake wanatumia vitisho dhidi ya washirika wake kabla ya uchaguzi mkuu wa...

Azimio la Raila lamtikisa Ruto

Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto alihisi uzito wa Azimio la Umoja, kundi linaoongozwa na kinara wa chama cha ODM, Bw Raila...

Raila na Ruto bega kwa bega

Na WINNIE ONYANDO KINARA wa ODM Raila Odinga na Naibu Rais William Ruto kufikia sasa wako bega kwa bega kwenye kinyang’anyiro...

Wahubiri wahimiza kampeni za heshima

Na JUMA NAMLOLA NAIBU Rais William Ruto na kinara wa ODM Raila Odinga, wameonywa dhidi ya kutumia kampeni zao za kusaka kura kuzua...

Makahaba wapigania pesa za Ruto

Na PIUS MAUNDU MCHANGO wake Naibu Rais William Ruto wa Sh1 milioni kwa makahaba wa mji wa Mtito Andei, kaunti ya Makueni umezua...

Wataka suti tu!

ONYANGO K’ONYANGO NA LEONARD ONYANGO WANASIASA wakuu wanaomezea mate urais mwaka ujao wamesisitiza kuwa sharti walio katika mirengo...

Riziki: Wamlilia Ruto awatoe kwa ukahaba

Na WACHIRA MWANGI KIKUNDI cha wanawake wanaofanya kazi ya ukahaba katika Kaunti ya Mombasa, wamemwomba Naibu Rais William Ruto awasaidie...

Ruto alikerwa na Raila – Wandani

Na IBRAHIM ORUKO NAIBU Rais William Ruto alikwepa kongamano la ugatuzi katika Kaunti ya Makueni Ijumaa wiki jana, kwa kukerwa na hadhi...

Ruto asusia Kongamano la Ugatuzi

Na WAANDISHI WETU NAIBU RAIS William Ruto jana alisusia Kongamano la Saba la Ugatuzi lililoandaliwa katika Kaunti ya Makueni licha ya...

Ngome 4 zawanyima usingizi

Na BENSON MATHEKA WAGOMBEAJI WAKUU wa urais kwenye uchaguzi mkuu wa 2022, Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga,...

Majibizano hatari kwa Ruto Mlimani

Na WANDERI KAMAU MAJIBIZANO makali kati ya Naibu Rais William Ruto na baadhi ya wanasiasa katika ukanda wa Mlima Kenya, yanatishia...