Tag: wizi
- by adminleo
- February 11th, 2020
Wakazi wa mtaa wa Landless walalama kuhusu ongezeko la visa vya wizi
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa mtaa wa Landless mjini Thika wanaitaka serikali iimarishe usalama wakisema wezi wamezidi. Wanasema wezi...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Wezi warejesha kuku wa kasisi kwa kuhofia laana
Na CHARLES WANYORO WAZEE wa baraza la Njuri Ncheke wamefanikiwa kurejesha kuku 24 kati ya 60 walioibwa kutoka nyumbani kwa kasisi wa...
- by adminleo
- December 18th, 2019
Lofa aanguka akiiba sola kwa jirani
NA NICHOLAS CHERUIYOT MERIGI, BOMET Mlofa wa eneo aliomba msaada alipoanguka akijaribu kupanda paa la nyumba ya jirani kuiba mtambo...
- by adminleo
- December 3rd, 2019
Dereva wa teksi ashtakiwa kumbaka mteja na kuiba mali yake
NA RICHARD MUNGUTI DEREVA wa magari ya teksi anayedaiwa alimbaka mteja wake na hatimaye kumwibia simu ya mkononi yenye thamani ya...
- by adminleo
- November 22nd, 2019
StandChart yaagizwa itoe ushahidi katika wizi wa Sh827m
Na RICHARD MUNGUTI BENKI ya Standard Chartered (SCB) ilipewa wiki mbili na mahakama ya kuamua kesi za ufisadi kuwasilisha stakabadhi za...
- by adminleo
- October 8th, 2019
Mwalimu wa dini jela maisha baada ya mahakama kumpata na kosa la wizi wa mabavu
Na KALUME KAZUNGU MWALIMU wa dini ya Kiislamu amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya mahakama ya Lamu kumpata na kosa la wizi wa...
- by adminleo
- September 25th, 2019
Polisi wapoteza mamilioni ya wizi
Na BRIAN OCHARO KUNDI la maafisa wa polisi limo mashakani baada ya kukosa kuwasilisha mahakamani Sh25.9 millioni ambazo zilikuwa sehemu...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Wanaoshukiwa kuiba Sh75m waachiliwa kwa Sh1m kila mmoja
Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA sita wa wizi wa Sh75.9 milioni za benki ya Standard (SCB) kimabavu Jumatano waliachiliwa kwa dhamana ya Sh1...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Mjane akana kuiba Sh150m
Na RICHARD MUNGUTI MJANE alishtakiwa Jumanne kwa kughushi saini ya nyanya wa miaka 70 na kupokea mkopo wa Sh150 milioni kutoka kwa benki...
- by adminleo
- August 1st, 2019
Majambazi wavamia waombolezaji na kuiba pesa za mazishi
WAIKWA MAINA na BENSON AMADALA FAMILIA moja inayoomboleza kifo cha mpendwa wao katika eneobunge la Kinangop, Kaunti ya Nyandarua,...
- by adminleo
- July 24th, 2019
Ajisaliti kuweka benki mamilioni ya pesa za wizi kila siku
NA SAM KIPLAGAT AFISA wa zamani wa Kaunti ya Nairobi aliyejisaliti kwa kuweka benki mamilioni ya pesa kila siku, ameagizwa na mahakama...
- by adminleo
- July 15th, 2019
Mwizi aliyekosa sadaka ya kuiba kanisani awarai waumini wamuombee
NA WAIKWA MAINA WAKAZI eneo la Engineer, Kaunti ya Nyandarua, wameshangazwa na kisa cha mwizi ambaye aliacha barua yenye ujumbe wa...