• Nairobi
  • Last Updated December 8th, 2023 10:25 PM

Mamia wafutwa kazi katika kiwanda cha kahawa mikakati ya Gachagua ikiibua maswali

NA STEPHEN MUNYIRI WAFANYAKAZI wapatao 400 wa kiwanda cha kahawa walifutwa kazi Jumatatu kufuatia hatua ya serikali ya kukatiza mkataba wa...

Aliuza mbuzi wake kupata pesa za Krismasi, lakini jambazi akamvamia usiku, akamwibia na kumuua

NA MWANGI MUIRURI Mwanamume wa miaka 57 kutoka Kaunti ya Murang'a aliyekuwa ameuza mbuzi wake kwa Sh12, 000 za kufadhili sherehe za...

Wito wa kujiamini barani Afrika, kujitafutia suluhu ya matatizo watawala kongamano la Kusi Ideas

STEVE OTIENO NA CHARLES WASONGA MAKALA ya tano ya Kongamano la Kuzuzuana Mawazo la KUSI Ideas Festival limeanza huku viongozi wa Afrika...

Demu wa beste yangu ataka tupige mechi ya kisiri ugenini

Mpenzi wa rafiki yangu amekuwa akinipigia simu na kunitumia jumbe za kimapenzi akiomba tuwe na mpango wa kando. Nafikiria kumwambia rafiki...

Pigo jingine kwa Serikali korti ikizima kesi dhidi ya Msimamizi wa Bajeti Nyakang’o

Na RICHARD MUNGUTI SERIKALI imepata pigo tena baada ya mahakama kuu kusitisha kesi ya ulaghai wa Sh29 milioni aliyoshtakiwa Msimamizi wa...

Mapenzi yamewatesa sana mastaa hawa, na hivi ndio wameamua kufanya…

NA SINDA MATIKO "NIMEAMUA kuupumzisha moyo wangu maana siku nyingi unateseka juu yangu. Kutwa kupelekwa puta na akili yangu eti kisa...

Wauzaji bangi wanavyotumia magari ya kifahari kuisafirisha

NA FARHIYA HUSSEIN OPERESHENI zinazoongozwa na Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) zimegundua matumizi ya magari ya kifahari...

Mzee aliyeoa msichana wa miaka 16 ashtakiwa kwa unajisi

NA JOSEPH NDUNDA MZEE wa miaka 50 aliyemuoa msichana wa miaka 16 anakabiliwa na mashtaka ya unajisi kinyume na kifungu cha 8 (1) (4) cha...

Man U wafufuka, majirani zao Man City wakififia EPL

MANCHESTER, Uingereza Mabingwa watetezi Manchester City wanaendelea kuona taji likiwaponyoka baada ya kupoteza 1-0 mikononi mwa Aston...

Harambee Starlets warejea kimya kimya baada ya kukosa fursa ya kukwachua Sh15m katika WAFCON

NA TOTO AREGE Baada ya timu ya taifa ya Kenya ya wanawake Harambee Starlets kuondolewa kwenye mashindano ya kufuzu Kombe la Wanawake la...

Machogu: Usahihishaji KCPE ulikuwa kazi safi na wakuu wa shule wameridhika na walichopata

NA TITUS OMINDE Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu amepuuzilia mbali madai ya kasoro katika usahihishaji wa mtihani wa KCPE mwaka huu huku...

Rose Muhando akanusha kutapeli kanisa la mwimbaji Mkenya Ali Mukhwana Sh200,000

NA SINDA MATIKO MWANAMUZIKI wa injili Rose Muhando kakanusha kutapeli kanisa la mwimbaji wa injili Ali Mukhwana Sh2o0,000. Siku chache...