Author: T L
- by T L
- March 28th, 2024
Sakaja awasilisha mswada wa kuongeza urefu wa majumba
NA NDUBI MOTURI GAVANA Johnson Sakaja (pichani) amechukua hatua za kurasimisha pendekezo lake la kuondoa hitaji la kikoloni, kwamba...
- by T L
- March 28th, 2024
Mwanamke aliyeangamia Shakahola na mtoto alitafuta mhubiri wa kufufua mumewe
NA WYCLIFFE NYABERI SIMANZI ilitanda katika kijiji cha Radienya, eneobunge la Nyatike, Kaunti ya Migori mnamo Alhamisi wakati wa mazishi...
- by T L
- March 28th, 2024
Afisi za UDA Bondo zachafuliwa na wahuni
NA KASSIM ADINASI VIJANA wenye hasira mnamo Jumatano walivamia jengo la afisi za UDA katika eneobunge la Bondo, Kaunti ya Siaya na...
- by T L
- March 28th, 2024
AMINI USIAMINI: Kuku ni ‘mjukuu’ wa T-Rex
NA PETER MWORIA KUKU ndio viumbe wanaoishi ambao ni wa karibu sana na jamii ya viumbe walioangamia duniani walioitwa T-Rex. Viumbe hao...
- by T L
- March 28th, 2024
Serikali yaondoa hofu ya mlipuko wa Covid-19
NA WANDERI KAMAU WIZARA ya Afya imepuuzilia mbali hofu kwamba ongezeko la maradhi ya kupumua nchini limetokana na urejeo la maradhi ya...
- by T L
- March 28th, 2024
Elimu: Taita Taveta yakabiliwa na uhaba wa walimu, mimba za mapema
NA ANTHONY KITIMO SWALA la uhaba wa walimu na mimba za mapema kwa wanafunzi limetajwa kuwa chanzo kikubwa cha kudorora kwa viwango za...
- by T L
- March 28th, 2024
Polisi wasaka mwanamume aliyetoa orodha ya anaolenga kuua
NA MWANGI MUIRURI POLISI katika Kaunti ya Murang’a wanamsaka mfungwa za zamani ambaye ametoa orodha ya watu 10 anaopanga kuua katika...
- by T L
- March 28th, 2024
Mjane aliyefurushwa kufuatia mzozo na wake wenza arejea kwa nyumba yake
NA SAMMY KIMATU MAMA mmoja mjane ambaye amekuwa akihangaika kwa miezi minane katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Fuata Nyayo kwa kufungiwa...
- by T L
- March 28th, 2024
Maafisa wachunguza vifo vya watu wawili Makadara
NA SAMMY KIMATU MAKACHERO katika Kaunti ndogo ya Makadara wanachunguza visa viwili kuhusu watu wawili kufariki katika maeneo...
- by T L
- March 28th, 2024
Chelogoi aonywa dhidi ya kuingiza siasa katika kesi
NA RICHARD MUNGUTI ONYO kali limetolewa dhidi ya aliyekuwa naibu mkuu wa mkoa wa Nairobi Davis Nathan Chelogoi kwamba atajua kilichomtoa...
- by T L
- March 28th, 2024
Serikali yasitisha zabuni za mashirika ya umma kukata matumizi
NA BRIAN AMBANI SERIKALI imepiga marufuku zabuni ya ununuzi wa vifaa vyenye nembo za idara mbalimbali za serikali, kama njia ya...
- by T L
- March 28th, 2024
Serikali ya Taita Taveta vitani kukomboa Mtito Andei na Mackinnon Road
NA LUCY MKANYIKA SERIKALI ya Kaunti ya Taita Taveta imeagiza wafanyabiashara walioko katika miji yenye utata ya Mtito Andei na Mackinnon...