• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 2:07 PM

Sakaja awasilisha mswada wa kuongeza urefu wa majumba

NA NDUBI MOTURI GAVANA Johnson Sakaja (pichani) amechukua hatua za kurasimisha pendekezo lake la kuondoa hitaji la kikoloni, kwamba...

Mwanamke aliyeangamia Shakahola na mtoto alitafuta mhubiri wa kufufua mumewe

NA WYCLIFFE NYABERI SIMANZI ilitanda katika kijiji cha Radienya, eneobunge la Nyatike, Kaunti ya Migori mnamo Alhamisi wakati wa mazishi...

Afisi za UDA Bondo zachafuliwa na wahuni

NA KASSIM ADINASI VIJANA wenye hasira mnamo Jumatano walivamia jengo la afisi za UDA katika eneobunge la Bondo, Kaunti ya Siaya na...

AMINI USIAMINI: Kuku ni ‘mjukuu’ wa T-Rex

NA PETER MWORIA KUKU ndio viumbe wanaoishi ambao ni wa karibu sana na jamii ya viumbe walioangamia duniani walioitwa T-Rex. Viumbe hao...

Serikali yaondoa hofu ya mlipuko wa Covid-19

NA WANDERI KAMAU WIZARA ya Afya imepuuzilia mbali hofu kwamba ongezeko la maradhi ya kupumua nchini limetokana na urejeo la maradhi ya...

Elimu: Taita Taveta yakabiliwa na uhaba wa walimu, mimba za mapema

NA ANTHONY KITIMO SWALA la uhaba wa walimu na mimba za mapema kwa wanafunzi limetajwa kuwa chanzo kikubwa cha kudorora kwa viwango za...

Polisi wasaka mwanamume aliyetoa orodha ya anaolenga kuua

NA MWANGI MUIRURI POLISI katika Kaunti ya Murang’a wanamsaka mfungwa za zamani ambaye ametoa orodha ya watu 10 anaopanga kuua katika...

Mjane aliyefurushwa kufuatia mzozo na wake wenza arejea kwa nyumba yake

NA SAMMY KIMATU MAMA mmoja mjane ambaye amekuwa akihangaika kwa miezi minane katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Fuata Nyayo kwa kufungiwa...

Maafisa wachunguza vifo vya watu wawili Makadara

NA SAMMY KIMATU MAKACHERO katika Kaunti ndogo ya Makadara wanachunguza visa viwili kuhusu watu wawili kufariki katika maeneo...

Chelogoi aonywa dhidi ya kuingiza siasa katika kesi

NA RICHARD MUNGUTI ONYO kali limetolewa dhidi ya aliyekuwa naibu mkuu wa mkoa wa Nairobi Davis Nathan Chelogoi kwamba atajua kilichomtoa...

Serikali yasitisha zabuni za mashirika ya umma kukata matumizi

NA BRIAN AMBANI SERIKALI imepiga marufuku zabuni ya ununuzi wa vifaa vyenye nembo za idara mbalimbali za serikali, kama njia ya...

Serikali ya Taita Taveta vitani kukomboa Mtito Andei na Mackinnon Road

NA LUCY MKANYIKA SERIKALI ya Kaunti ya Taita Taveta imeagiza wafanyabiashara walioko katika miji yenye utata ya Mtito Andei na Mackinnon...