Na MWANDISHI WETU
BWAWA Uhuru lililopo mjini Ruiru limetapika maji Alhamisi asubuhi kutokana na mvua iliyopitiliza.
Wakazi wa mtaa wa Varsityville eneo la Kamakis wameathirika kukiwa na ripoti kwamba maji yameingia katika baadhi ya nyumba.
Subscribe our newsletter to stay updated