GEN Z WAMECHEZWA? Rais aonekana kutozingatia kikamilifu matakwa ya vijana
KINYUME na matarajio ya wengi, Rais William Ruto ameonekana kutozingatia kikamilifu matakwa ya vijana wa Gen-Z kwa kuwateua tena baadhi ya mawaziri aliowatema wiki jana. Aidha, miongoni mwa watu 11 aliowateua jana, wamo watatu waliojiuzulu nyadhifa zao za kisiasa baada ya uchaguzi mkuu uliopita walipoteuliwa mawaziri 2022. Wao ni Mbunge wa zamani wa Garissa Mjini … Continue reading GEN Z WAMECHEZWA? Rais aonekana kutozingatia kikamilifu matakwa ya vijana
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed