• Nairobi
  • Last Updated October 2nd, 2023 11:00 AM
Polisi waomba siku 14 kuwazuilia washukiwa 10 wanaohusishwa na vifo vya watoto wawili

Polisi waomba siku 14 kuwazuilia washukiwa 10 wanaohusishwa na vifo vya watoto wawili

NA MAUREEN ONGALA

POLISI Kilifi wameomba mahakama kuwapa siku 14 kuwazuilia wanachama 10 wa ‘Kanisa la Mungu, Neno la Kweli’ ambao walikamatwa kwa madai kwamba walihusika kwa vifo vya watoto wawili.

Hakimu Mwandamizi Mkuu wa Kilifi Justus Kituku anatarajiwa kutoa uamuzi mnamo Alhamisi, Septemba 21, 2023.

  • Tags

You can share this post!

Seneta, wenzake wataka kuilipa kampuni iliyowashtaki Sh269...

Bingwa Eliud Kipchoge asubiriwa na kibarua kigumu katika...

T L