• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 8:55 AM
Unesco yatambua muziki wa rhumba kama turathi kuu

Unesco yatambua muziki wa rhumba kama turathi kuu

Na AFP

PARIS, UFARANSA

MUZIKI aina ya rhumba hatimaye umetambuliwa rasmi na shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco) kama urithi wa kimataifa.

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na taifa jirani la Congo-Brazzaville zimekuwa zikiendesha kampeni ya kutaka Unesco kutambua rasmi aina muziki huo.

Utamaduni zinazolindwa na Unesco kama vile muziki wa rege – reggae- wa Jamaica.

You can share this post!

TAHARIRI: Wakenya wawe na mazoea ya kupima maradhi

Washirika wa Uhuru, Ruto wamenyana leo

T L