Na AFP
PARIS, UFARANSA
MUZIKI aina ya rhumba hatimaye umetambuliwa rasmi na shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco) kama urithi wa kimataifa.
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na taifa jirani la Congo-Brazzaville zimekuwa zikiendesha kampeni ya kutaka Unesco kutambua rasmi aina muziki huo.
Utamaduni zinazolindwa na Unesco kama vile muziki wa rege – reggae- wa Jamaica.