Tag: Tob Cohen
- by T L
- January 18th, 2022
Familia ya Tob Cohen haitaki aliyekuwa mkewe akijitambua kwa jina la marehemu
Na RICHARD MUNGUTI FAMILIA ya raia wa Uholanzi Tob Cohen aliyeuawa na maiti yake ikatupwa ndani ya shimo la choo katika makazi yake mtaa...
- by T L
- December 15th, 2021
Ugavi wa mali ya Bilionea Tob Cohen wasimamishwa na mahakama
Na RICHARD MUNGUTI FAMILIA ya marehemu Tob Cohen imepata pigo kubwa mahakama iliposimamisha ugavi wa mali yake huku wosia mbili...
Mzozo wa DPP na DCI waanikwa na kesi ya mauaji ya Cohen
Na BENSON MATHEKA KESI ya mauaji ya bwanyenye kutoka Uholanzi, Tob Cohen imeanika tofauti zinazoendelea kupanuka kati ya Mkurugenzi wa...
- by adminleo
- October 30th, 2019
Sarah Cohen ataka achukue nguo katika makazi yanayotajwa ‘eneo la tukio’
Na RICHARD MUNGUTI MJANE wa bwanyenye Tob Cohen, Sarah Wairimu Kamotho aliyekanusha shtaka la kumuua mumewe miezi mitatu iliyopita,...
- by adminleo
- October 29th, 2019
Mshukiwa wa pili katika mauaji ya bwanyenye Tob Cohen aachiliwa kwa dhamana
Na RICHARD MUNGUTI BAADA ya kukaa rumande siku 49 mshukiwa wa pili katika kesi ya mauaji ya bwanyenye Tob Cohen, Peter Karanja...
- by adminleo
- October 25th, 2019
Mbunge wa Gilgil aomba mahakama imruhusu ashiriki kesi ya mauaji inayomkabili Peter Karanja
Na RICHARD MUNGUTI MBUNGE wa Gilgil, Martha Wangari ameomba mahakama imruhusu ashiriki katika kesi ya mauaji dhidi ya Peter Karanja...