• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 4:31 PM

Sharti uchaguzi uwe wa amani -Matiang’i

Na RUTH MBULA MAWAZIRI watatu jana walisema watamuunga mkono Rais Uhuru Kenyatta kikamilifu kwa kuhakikisha wanafanya lolote wawezalo...

Sharti uchaguzi uwe wa amani -Matiang’i

Na RUTH MBULA MAWAZIRI watatu jana walisema watamuunga mkono Rais Uhuru Kenyatta kikamilifu kwa kuhakikisha wanafanya lolote wawezalo...

PETER NGARE: Wakenya waache kasumba ya ‘Mtu Wetu’ uchaguzi ujao

Na PETER NGARE MWANASAYANSI maarufu Albert Einstein alisema uendawazimu ni kufanya jambo kwa mbinu moja kila mara huku ukitarajia...

KINYUA BIN KING’ORI: Raia wawe macho wasichague waliowaahidi hewa

NA KINYUA BIN KING'ORI WANASIASA wamejaa mashinani wakati huu, wakizunguka usiku na mchana mitaani na mazishini wakikutana na wananchi...

KINYUA BIN KING’ORI: Uchaguzi wa Zambia uwe kielelezo kwa mataifa ya Afrika

Na KINYUA BIN KING'ORI Historia mpya imeandikishwa katika buku la demokrasia nchini Zambia na barani Afrika kwa jumla Kufuatia ushindi...

Ni uchaguzi wa masonko 2022

WINNIE ATIENO na VALENTINE OBARA MABILIONI ya pesa yataanza kumiminika kitaifa hivi karibuni, baada ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka...

Chama chake Abbiy kifua mbele uchaguzini Ethiopia

Na MASHIRIKA CHAMA cha Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed, kinatarajiwa kunyakua viti vingi vya ubunge katika uchaguzi mkuu uliofanyika...

NCCK yaonya kuhusu tarehe ya uchaguzi

Na DAVID MUCHUI BARAZA la Kitaifa la Makanisa (NCCK), limeonya dhidi ya juhudi zozote za kuahirisha uchaguzi mkuu ujao kikatiba unapasa...

Mwaniaji wa udiwani wa UDA akamatwa kwa kuhonga wapigakura

RUTH MBULA Na SAMMY WAWERUUDA MAAFISA wa polisi katika Kaunti ya Kisii walimtia nguvuni mgombea wa kiti cha udiwani kwa tiketi ya chama...

Nitapinga matokeo uchaguzi ukikosa uwazi – Bobi Wine

NA DAILY MONITOR MWANIAJI urais wa chama cha National Unity Platform (NUP) nchini Uganda Robert Kyagulanyi almaarufu Bobi Wine amsesma...

21 wauawa kwenye machafuko ya matokeo ya uchaguzi Guinea

NA AFP JUMLA ya watu 21 wameuawa katika michafuko nchini Guinea kufuatia uchaguzi wa urais unaopingwa huku wajumbe wa kimataifa...

Kampuni 8 zilitumiwa kuchafulia Raila sifa 2013 na 2017

NA FAUSTINE NGILA  KAMPUNI nane zilitumiwa kumharibia sifa Kion- gozi wa ODM, Bw Raila Odinga mitandaoni wakati wa kampeni za chaguzi...