• Nairobi
  • Last Updated September 26th, 2023 10:25 PM
JUKWAA WAZI: Junet, Ichung’wa wakabana koo kuhusu ‘umahsusi’ wa Linturi wizarani

JUKWAA WAZI: Junet, Ichung’wa wakabana koo kuhusu ‘umahsusi’ wa Linturi wizarani

“Si Bw Ichung’wah aliyeteuliwa kama Waziri wa Kilimo. Hivyo, lazima amruhusu Bw Linturi kujibu maswali kama anavyoulizwa. Hilo ndilo litatupa picha kamili kuhusu ikiwa ana uwezo wa kutosha kuiongoza wizara hiyo au la. Lazima atufafanulie kuhusu mikakati ambayo serikali itaweka kuwazuia Wakenya kutokana na athari za vyakula vya GMO.”

Kimani Ichungwa-Kiongozi wa Wengi, Bunge

“Bw Linturi bado hajaanza kuhudumu kama Waziri wa Kilimo. Hawezi kujibu baadhi ya maswali, kwani huwa yanategemea sera na mfumo unaowekwa na serikali. Akianza kuhudumu, ndipo atakapoweza kuyajibu. Simtetei dhidi ya maswali, japo huo ndio ukweli.”

  • Tags

You can share this post!

JUNGU KUU: Mzozo mpya Meru mtihani kwa Ruto

KIGODA CHA PWANI: Wapigakura watarajia makuu kwa...

T L