• Nairobi
  • Last Updated December 4th, 2023 6:02 PM
AMINI USIAMINI: Kwa vita humuwezi mjusi anayefahamika kama ‘nile monitor’

AMINI USIAMINI: Kwa vita humuwezi mjusi anayefahamika kama ‘nile monitor’

NA MWORIA MUCHINA

‘NILE monitor’ ni mjusi mkubwa ambaye ana meno makali na kucha ndefu.

Mjusi huyu huwinda chochote akipatacho na hula hata mizoga.

Anaweza kuwinda kwenye ardhi, ndani ya maji au hata juu ya miti.

Anafahamika kupigana vita na hata wanyama wakubwa kama mamba.

Ni vigumu sana kumnasa mjusi huyu akiwa hai kwa sababu atapigana vita vikali kujinusuru.

  • Tags

You can share this post!

Muuzaji magari asema alimpiga polisi kumpa funzo

Gerardo ‘Tata’ Martino kumnoa tena supastaa...

T L