• Nairobi
  • Last Updated December 4th, 2023 8:09 PM
CECIL ODONGO: Raila hana lake kwenye vikao vya maridhiano na Rais Ruto

CECIL ODONGO: Raila hana lake kwenye vikao vya maridhiano na Rais Ruto

NA CECIL ODONGO

KINARA wa Azimio la Umoja Raila Odinga anapasa kukoma kuwachezea shere wafuasi wake kila mara kwa kuchukua mkondo wa siasa ambao unawaacha na maswali mengi bila majibu.

Mnamo Jumapili jioni, kiongozi huyo wa ODM pamoja na vinara wengine wa muungano huo walisitisha maandamano ambayo yamekuwa yakiendelea nchini.

  • Tags

You can share this post!

Mahasimu wanalenga kunizuia kuwania urais – Trump

Mafuriko yaathiri usafiri katika kaunti za Homa Bay na...

T L