• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 11:55 AM
TAHARIRI: Pendekezo la Askofu Oginde lipewe uzito

TAHARIRI: Pendekezo la Askofu Oginde lipewe uzito

NA MHARIRI

KAMATI ya Bunge inayohusika na masuala ya Haki na Katiba (JLAC) hatimaye imempiga msasa Askofu Dkt David Oginde.

Askofu huyo mstaafu wa Kanisa la Christ Is The Answer Ministries (CITAM), amependekezwa achukue uongozi wa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC).

Mwenyekiti aliyeondoka pia alikuwa Askofu Mstaafu wa Kanisa la Kianglikana (ACK), Dkt Eliud Wabukala.

  • Tags

You can share this post!

MAPISHI KIKWETU: Lasagna ya uyoga

Dawa za kulevya sumu kwenu, vijana washauriwa

T L