• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 5:54 PM
TAHARIRI: Serikali ‘isinyonge’ wanahabari

TAHARIRI: Serikali ‘isinyonge’ wanahabari

NA MHARIRI

HATUA ya vigogo serikalini kuelekezea ghadhabu zao wanahabari na vyombo vya habari katika juhudi za kuzima maandamano yanayoongozwa na kinara wa Azimio Raila Odinga, inafaa kukemewa vikali.

Inasikitisha kwamba vitisho hivi vinatolewa na viongozi wa ngazi ya juu serikalini walioapa kulinda Katiba na wanaofaa kuwa katika mstari wa mbele kukemea maafisa wa polisi wanaohangaisha wanahabari.

  • Tags

You can share this post!

Aina mpya ya kisonono yavamia Kenya

Marafiki walinitoroka nilipopoteza ubunge – Ouda

T L