• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 11:05 AM
Absa Kip Keino Classic: Ferdinand Omanyala ahifadhi taji lake mbio za mita 100

Absa Kip Keino Classic: Ferdinand Omanyala ahifadhi taji lake mbio za mita 100

NA GEOFFREY ANENE

BINGWA wa Jumuiya ya Madola na Afrika mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala aliwapa raha mashabiki wake baada ya kuhifadhi taji lake kwenye Riadha za Absa Kip Keino Classic Continental Tour ugani Moi Kasarani mnamo Jumamosi.

Afisa huyo wa polisi amefyatuka umbali huo kwa sekunde 9.84.

Amewaonesha kivumbi Waamerika Kenny Bednarek (9.98) na Marvin Bracy (10.03).

  • Tags

You can share this post!

Rais wa Bunge la Mwananchi Calvince Gaucho akosoa mpango wa...

Simiu ni mfalme mpya wa Kip Keino Classic mita 10000

T L