• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 6:50 PM
Azimio yateua wakali meza ya majadiliano

Azimio yateua wakali meza ya majadiliano

CHARLES WASONGA Na ANTHONY KITIMO

MUUNGANO wa Azimio umeteua kikosi cha wanasiasa wenye misimamo mikali kuiwakilisha kwenye meza ya mazungumzo na wawakilishi wa Kenya Kwanza kuhusu masuala yaliyosababisha mvutano kati ya mirengo hiyo.

  • Tags

You can share this post!

Olunga aongoza Al Duhail kutwaa ubingwa wa Qatar Cup

Alikatwa mguu mmoja, awachenga wasio na ulemavu

T L