• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 9:40 PM
Janjajanja za Gachagua kuzima handisheki

Janjajanja za Gachagua kuzima handisheki

WANDERI KAMAU Na JUSTUS OCHIENG

RAIS William Ruto leo Jumanne anatarajiwa kuongoza mkutano utakaoamua hatima ya mazungumzo baina ya serikali na Upinzani huku Naibu Rais Rigathi Gachagua akibuni mikakati ya kupangua uwezekano wa Kiongozi wa Nchi ‘kukaribisha’ kinara wa Azimio la Umoja Raila Odinga katika serikali yake.

Bw Gachagua ni miongoni mwa vigogo wa Kenya Kwanza ambao wametangaza kutumia kila mbinu kuhakikisha kuwa Bw Odinga anafungiwa nje ya serikali.

  • Tags

You can share this post!

Mama Ngina apokea Sh679,800 kila mwezi

Vuguvugu lataka mazungumzo ya maridhiano yafanyike kwa nia...

T L