• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM
Ruto amvizia Raila ‘nyumbani’ kwake

Ruto amvizia Raila ‘nyumbani’ kwake

GEORGE ODIWUOR Na BENSON MATHEKA

RAIS William Ruto anaendelea na mikakati ya kijanja yenye lengo la kupenya ngome za kinara wa Azimio la Umoja, Raila Odinga, hasa Nyanza huku akihimiza miungano ya Kenya Kwanza na Azimio kufanya mazungumzo ya maridhiano bungeni.

  • Tags

You can share this post!

WANTO WARUI: Waziri wa Elimu aweke mikakati kabambe kulinda...

Wenye maduka walia biashara imedorora Shakahola

T L