• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 11:05 AM
Masharti mapya ya maridhiano yazuka

Masharti mapya ya maridhiano yazuka

NA BENSON MATHEKA

MAKATAA ya wiki moja ambayo kiongozi wa Azimio la Umoja Raila Odinga alimpa Rais William Ruto kufanikisha maridhiano, au vinginevyo, muungano huo wa Upinzani urudie maandamano, yanamalizika leo Jumatatu, huku upande wa serikali ukiwa umepiga hatua chache.

  • Tags

You can share this post!

Dhihirisheni ujuzi kupanda vyeo, wanawake waambiwa

MAPISHI KIKWETU: Jinsi ya kuandaa uduvi almaarufu...

T L