• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM
Lamu Mashariki kupata lami kwa mara ya kwanza

Lamu Mashariki kupata lami kwa mara ya kwanza

NA KALUME KAZUNGU

RAIS William Ruto amewasili katika kisiwa cha Kizingitini, Lamu Mashariki ambapo tayari amefungua rasmi chuo cha mafunzo anuwai cha Kizingitini TTI.

Chuo anuwai cha Kizingitini TTI kilichofungiliwa rasmi na Rais William Ruto mnamo Novemba 4, 2023. PICHA | KALUME KAZUNGU

Pia ameongoza ufunguzi wa barabara ya kilomita 38 ya Kizingitini-Mtangawanda ambayo itakuwa ya lami.

Hii itakuwa mara ya kwanza kwa eneobunge la Lamu Mashariki kupata barabara ya lami.

Mbunge wa Lamu Mashariki ni Kapteni Ruweida Obo.

Soma Pia: Eneobunge lisilo na hata inchi moja ya lami tangu uhuru

  • Tags

You can share this post!

Rais Ruto awashauri maafisa wa KRA wawe na utu kwa walipaji...

Katibu wa Gor Mahia ajitosa uwanjani kuwania urais wa FKF

T L