• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM
Ulevi, magonjwa ya akili yatatiza walimu shuleni – Ripoti ya TSC

Ulevi, magonjwa ya akili yatatiza walimu shuleni – Ripoti ya TSC

NA DAVID MUCHUNGUH

RIPOTI ya Tume ya Kuwaajiri Walimu nchini (TSC) imeonyesha kwamba matatizo ya kiakili na pombe ni kati ya changamoto kuu zinazowahangaisha walimu.

Katika ripoti hiyo ya 2021/22, walimu huepuka majukumu yao, baadhi wakishiriki tabia zisizoandamana na maadili ya kazi zao, hali ambayo imefifisha utekelezaji wa mtaala shuleni.

  • Tags

You can share this post!

Man-U wanaweza kumaliza nne-bora EPL?

Majangili wavamia hospitali na kuiba mgonjwa

T L