Bi Taifa Bi Taifa

BI TAIFA VALENTINO DEI 2018

KAREN Kappuch anatupambia ukurasa wetu Valentino Dei ya mwaka huu. Yeye ni mwanamitindo jijini Nairobi na anaenzi kuimba, kusikiliza muziki, kusafiri na kutazama filamu. Picha/ Anthony Omuya