DEBBIE Kwamboka, 22, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Anaenzi kutalii, kuendesha baiskeli na kuogelea. Picha/ Anthony Omuya
LUCY Njoki, 21, anatupambia tovuti yetu siku ya mwisho ya Februari. Anapenda kuimba, kushiriki mashindano ya urembo na kupiga picha. Picha/...
MAUREEN Wairi, 23, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Uraibu wake ni kutazama filamu, kusafiri na kusoma vitabu. Picha/ Anthony Omuya
LISA Kainae, 20, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Anapenda kusakata densi, kutazama filamu na kuogelea. Picha/ Anthony Omuya
LISA Cherop, 21, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Anaenzi kuogelea, kuendesha baiskeli na kupiga gitaa. Picha/ Anthony Omuya
Linda Jerop, 22, ni mwanamitindo mjini Eldoret. Uraibu wake ni kusafiri, kuimba ma kusikiliza muziki. Picha/ Anthony Omuya
LINAH Njue, 21, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Anaenzi kujipodoa, kusafiri na kusoma vitabu. Picha/ Anthony Omuya
MERCY Njoki, 21, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Uraibu wake ni kusakata densi, kusikiliza muziki na kuendesha baiskeli. Picha/ Anthony...
ROSE Williams, 22, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Anaenzi kutazama filamu, kusafiri maeneo mapya na kuogelea. Picha/ Anthony Omuya
JACQUILINE Saitabau, 21, anatupambia tovuti yetu leo. Anapenda kusafiri, kusoma vitabu na kupamba warembo. Picha/ Anthony Omuya
Gru and Lucy and their girls â Margo, Edith and Agnes...
As New York City is invaded by alien creatures who hunt by...
After learning that the death of his wife was not an...