WATU kadha waliripotiwa kuuawa na mamia wakajeruhiwa waandamanaji walipomiminika katika barabara za miji yote mikubwa nchini kupinga Mswada...
SERIKALI imetangaza kuruhusu jeshi la KDF kusaidia kuleta utulivu nchini, katika siku ambayo imeshuhudia maandamano yaliyosababisha maafa,...
MAASKOFU wa Kanisa Katoliki Nchini wamemhimiza Rais William Ruto kutotia saini Mswada wa Fedha wa 2024 ili kutoa nafasi zaidi kwa...
LICHA ya serikali kuwahakikishia Wakenya kuwa intaneti haingevurugwa, Wakenya mnamo Jumanne walitatizika mitandaoni kutokana na kasi ya...
KIONGOZI wa Wachache Opiyo Wandayi amelalamika kwamba mfanyakazi katika afisi yake Gabriel Oguda alikamatwa usiku wa kuamkia Jumanne, Juni...
SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetangula amemuagiza Kiongozi wa Wengi Kimani Ichung’wa kuwasiliana kwa dharura na Inspekta Jenerali Mkuu...
WABUNGE wamelazimika kukimbia kwa afisi zao zilizoko Bunge Towers kufuatia kuvamiwa kwa Majengo ya Bunge na waandamanaji wanaopinga ushuru...
WAKATI wowote kuanzia sasa Rais William Ruto anatarajiwa kutia saini Mswada wa Fedha wa 2024 kuwa sheria kuiwezesha serikali kukusanya...
JAJI Mkuu Martha Koome ameelezea wasiwasi wake kuhusu ripoti za kutekwa nyara kwa vijana wanaohusishwa na maandamano akisema huo ni...
WABUNGE wamepitisha mswada tatanishi wa fedha kwa upesi ambao haujashuhudiwa awali, baada ya wabunge wa upande wa Upinzani kuondoa...
Gru and Lucy and their girls â Margo, Edith and Agnes...
As New York City is invaded by alien creatures who hunt by...
After learning that the death of his wife was not an...