EMMA Michuki, 21, ni mwanamitindo mjini Eldoret. Uraibu wake ni kusafiri, kuimba ma kusikiliza muziki. Picha/ Anthony Omuya
ALICIA Rogers, 24, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Uraibu wake ni kuogelea na kusikiliza muziki. PICHA/ ANTHONY OMUYA
CYNTHIA Orengo, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Anaenzi kuogelea na kuimba. Picha/ ANTHONY OMUYA
CYNTHIA Michuki, 20, ni mwanamitindo wa Nairobi. Anaenzi kusoma, kuandika na kuchora. Picha/ Anthony Omuya
CHRISTINE Kemunto, 22, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Anapenda mapambo, fasheni na urembo. Picha/ Anthony Omuya
CARO Nimo, 21, ni mwanamitindo humu nchini. Anaenzi kuigiza, kuimba na kucheza densi. Picha/ Anthony Omuya
BECKY THOMAS, 22, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Anapenda kusafiri na kusikiliza muziki. Picha/ Anthony Omuya
Rosemary Ngari, 23, ni mkazi jijini Mombasa. Uraibu wake ni kusoma vitabu, kutazama filamu, kusikiliza muziki wa Bongo. Vile vile yeye ni...
Lucy Kuria, 21, ni mwanafunzi katika Kenya Institute of Mass Communication, akisomea uanahabari na kujinoa katika Kenya News Agency,...
Mercy Seruya ana umri wa miaka 23. Ni mkazi wa jijini Mombasa. Uraibu wake ni kutazama filamu, kutembea maeneo mbalimbali ya taifa la...
Gru and Lucy and their girls â Margo, Edith and Agnes...
As New York City is invaded by alien creatures who hunt by...
After learning that the death of his wife was not an...