• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 5:07 PM

Mvutano wa Wetang’ula na Natembeya waanza kutoa usaha

NA EVANS JAOLA MAAFISA wanne wa serikali ya Kaunti ya Trans Nzoia mnamo Jumanne walihojiwa katika makao makuu ya Idara ya Kuchunguza...

Team Kusikiza Ground: Vuguvugu jipya la kutetea masilahi ya ‘Wanjiku’

NA CHARLES WASONGA TAKRIBAN wabunge sita kutoka vyama vitatu wamebuni muungano mpya kuhakiki utendakazi wa serikali, wakidai upinzani...

Msaidizi wa Raila ajiunga na UDA

NA CHARLES WASONGA ALIYEKUWA msaidizi wa kiongozi wa Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga, Silas Jakakimba, amejiunga rasmi na...

Raila kuokoa jahazi makinda wake wa Azimio wakikwama

NA WYCLIFFE NYABERI KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka, amesema Muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya utaendelea kukosoa utawala wa Kenya...

Karua apuuza ‘madharau ndogondogo’ ya Kalonzo kusema hatoshi mboga

NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa Narc-Kenya Martha Karua, Ijumaa alipuuzilia mbali kauli ya kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka kwamba hatoshi...

Mnatoza ushuru na hamlipi madaktari, Kalonzo aishangaa serikali

NA WYCLIFFE NYABERI KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka ameitaka serikali ya Kenya Kwanza kuwalipa madaktari ili wasitishe mgomo...

Wabunge wa Kiambu wamuandaa Alice Ng’ang’a kwa ugavana 2027

NA LAWRENCE ONGARO VIONGOZI wanane kutoka Kaunti ya Kiambu wameungana katika kinachoonekana ni kumvumisha mbunge wa Thika Alice...

Kalonzo: Nimeiva kuongoza Azimio

NA WYCLIFFE NYABERI KIONGOZI wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amesema ndiye mgombea bora zaidi anayeweza kuongoza muungano wa Azimio...

Jeremiah Kioni kuendelea kubeba sufuria kichwani

NA WANDERI KAMAU KATIBU Mkuu wa chama cha Jubilee Jeremiah Kioni, amesema hatasitisha kampeni yake ya kuweka sufuria kichwani almaarufu...

Steve Mbogo: Serikali inamcheza Raila kuhusu uenyekiti AUC

NA WANDERI KAMAU MWANASIASA Steve Mbogo amesema kuwa atampa kiongozi wa ODM Raila Odinga Sh10 milioni ikiwa atafanikiwa kuwa mwenyekiti wa...

Refaranda: Wamalwa kupinga miswada ya kubuni vyeo

NA WANDERI KAMAU ALIYEKUWA Waziri wa Ulinzi Eugene Wamalwa, amesema ataongoza kampeni za mrengo wa ‘La’ ikiwa kutakuwa na kura ya...

Siasa zatingika Rais Ruto akipendekeza mgombea mwenza awe mwanamke

NA MWANGI MUIRURI SAUTI ya kiongozi wa nchi katika siasa za Afrika huwa na uzito mwingi na hii ndio sababu wachambuzi wa masuala ya...