NA WANDERI KAMAU WAKATI mwingine, huwa inashangaza kutafakari ikiwa wanasiasa huingiwa na roho fulani wanapowahutubia wafuasi wao, kiasi...
NA WANDERI KAMAU PENGINE unafiki wetu kama binadamu ndio huwa unamfanya Mungu kutukasirikia na wakati mwingine kutuadhibu. Mwanadamu...
NA VALENTINE OBARA IMESALIA chini ya miezi mitatu tu Uchaguzi Mkuu ufanyike nchini Kenya. Licha ya muda mchache ambao umebaki, na...
NA MHARIRI MADAI yanayotolewa na wanasiasa kuhusu utumizi mbaya wa raslimali za umma ni ya kushangaza sana. Seneta wa Bungoma Moses...
MNAMO 2008 serikali ya Kenya ilianzisha mradi wa ujenzi wa jiji la kiteknolojia katika eneo la Konza, kwenye mpaka wa kaunti za Machakos na...
MUUNGANO wa Kenya Kwanza umeahidi kupiga marufuku matumizi ya mashine za kuchuma chai, endapo utashinda urais katika uchaguzi mkuu...
NA CHARLES WASONGA TUME Huru ya Uchaguzi (IEBC) inahitajika kufanya kazi sako kwa bako na asasi nyingine husika za serikali ili iweze...
NA CECIL ODONGO NAIBU wa Rais, Dkt William Ruto anafaa achunge ulimi wake kwenye kampeni anazoendeleza ili ajizuie kutoa kauli ambazo...
MNAMO Mei 15, 2022 Naibu Rais William Ruto alimteua Mbunge wa Mathira Rigathi Gachagua kuwa mgombea mwenza wake katika kinyang’anyiro cha...
Na CHARLES WASONGA SERIKALI ya Kitaifa na zile za kaunti zinafaa kuweka mikakati ya mapema kuzuia mkurupuko wa ugonjwa hatari wa...
NA BENSON MATHEKA IDADI ya raia wanaokumbwa na matatizo ya akili nchini inazidi kuongezeka inavyodhihirishwa na visa vya watu kuua jamaa...
NA MHARIRI IDADI kubwa ya watoto ambao wanashindwa kujiunga na shule za upili kwa ukosefu wa fedha kila mwaka, ni dhihirisho kuwa Kenya...