• Nairobi
  • Last Updated March 19th, 2024 6:55 AM

MAONI: Benny Hinn aliacha nchi hoi badala ya kuiletea uponyaji

Na LEONARD ONYANGO MHUBIRI Toufik Benedictus Benny Hinn alikuwa gumzo humu nchini wikendi iliyopita alipoongoza mkutano mkubwa wa maombi...

MAONI: Anayetaka kumrithi Raila awe jasiri na mtetezi sugu wa raia

Na CHARLES WASONGA SIASA za urithi wa kiongozi wa Azimio la Umoja One Kenya zimeanza kushuhudiwa katika nyanja tatu tofauti, ndani ya...

MAONI: Afrika itapiga hatua hata zaidi watu wa nje wakiacha vurugu

NA DOUGLAS MUTUA MWENYEKITI wa Tume ya Muungano wa Afrika (ACU) anayeondoka, Bw Moussa Faki, ameanza kunguruma mwishoni mwa kipindi chake...

MAONI: Umaskini pekee usiwe kigezo cha kuamua wa kupokea basari

NA JURGEN NAMBEKA HATUA ya Gavana wa Lamu, Issa Timammy kutangaza kuwaondoa wanafunzi 700 kutoka kwa mpango wa ufadhili wa masomo, basari...

MAONI: Kuangamiza pombe haramu kutafaulu tu iwapo uchumi wa Kenya utaimarishwa

Na BENSON MATHEKA VIFO vinavyotokana na unywaji wa pombe haramu yenye sumu kama vilivyotokea katika Kaunti ya Kirinyaga vimekuwa...

Kushambuliwa hakutazuia shirika la NMG kutekeleza wajibu wake wa kutoa habari kwa umma

KATIKA siku za hivi karibuni, taifa limeshuhudia kampeni ya chuki na potovu, iliyopangwa na yenye nia mbaya mitandaoni dhidi ya shirika la...

ODONGO: Ni kinaya Ruto kushambulia mahakama aliyosifu baada ya kura

Na CECIL ODONGO Kauli ya Rais William Ruto kuwa atawafyeka wakora ambao wanatumia mahakama kupiga breki miradi yake ya maendeleo haifai...

WASONGA: Maandamano sio njia nzuri ya kusukuma serikali ya Kenya Kwanza

Na CHARLES WASONGA NIMEWAHI kufafanua kwenye ukumbi huu kuwa serikali ya Rais William Ruto ina wajibu wa kupunguza gharama ya maisha ili...

MAONI: Wachuuzi katikati mwa jiji bado ni kero kwa wapita njia

NA WINNIE ONYANDO WACHUUZI wanaouza bidhaa zao nje ya maduka makubwa na kando ya barabara katikati mwa jiji la Nairobi wamekuwa kero la...

MAWAIDHA YA KIISLAMU: Maadili yako wapi, tunafunza nini kizazi kijacho?

Na ALI HASSAN KWA jina la Mwenyezi Mungu mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo. Tumejaaliwa leo hii kukutana katika...

Chunga usiwe ‘mzazi hewa’ kwenye maisha ya mwanao

NA WINNIE ONYANDO WAZAZI wengi leo hii wametelekeza majukumu yao ya kuwaangalia na kuwalea watoto wao kwa njia ya uadilifu, kisingizio...

WANDERI KAMAU: Kawira Mwangaza ni mwathiriwa wa mitazamo duni ya jadi

NA WANDERI KAMAU JAMII ya Ameru ni miongoni mwa jamii ambazo zimekuwa zikimpa hekima na kumkweza mwanamume kama nguzo kuu ya uongozi...