• Nairobi
  • Last Updated March 19th, 2024 2:13 PM

Vijana wa kiume watekwa na mashugamami

NA BENSON MATHEKA IMEFICHUKA kwamba vijana wa kiume hujisalimisha kwa wawindaji wa mahaba kutokana na tamaa, umaskini na hali ngumu...

Wanawake Lamu wadai ladha ya ndoa ni ‘kuwakalia chapati’ waume

NA KALUME KAZUNGU WANAWAKE katika Kaunti ya Lamu wametoa ushauri kwa wanaume wanaotawaliwa na kasumba ya taasubi ya kiume na kuwaambia...

Ndoa ikikataa imekataa, Akothee ashauri wanawake

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI Esther Akoth Kokeyo almaarufu Akothee, amewashauri wanawake dhidi ya kusalia kwenye ndoa ambazo huwa tayari...

Mabibi waingiwa na wasiwasi waume wakienda kunyolewa

NA WANDERI KAMAU KWA kawaida, huwa haimchukui mtu muda mrefu kunyolewa katika duka la kinyozi. Ikizingatiwa kuwa huwa kuna wateja wengi...

Kundi la ufundi wa chumbani lashangaza wanaume

NA MWANGI MUIRURI KULIZUKA kizaazaa katika ukumbi mmoja mjini Nyeri wakati wanaume kadhaa waliuvamia wakilaani hatua ya shirika moja...

Martha ashauri wanawake kuepuka ndoa zilizo na dalili za fujo

NA MWANGI MUIRURI SAFARI ya mwanamitindo Martha Wanjiku,23, katika ndoa haikudumu kwa sababu ilikaa mwaka mmoja tu kati ya 2021 na 2022 na...

Wajakazi wafananisha kuosha nguo za ndani za mabosi na ‘uchawi mamboleo’

NA FRIDAH OKACHI BAADHI ya wajakazi jijini Nairobi wametoa malalamishi kwamba mabosi wao huwafanyia 'uchawi mamboleo' kwa kuwapa mavazi...

Mtaalamu atoa vidokezo muhimu kuhusu salamu za ma-ex

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa kufokafoka kutoka mtaa wa Kibra Stephen Otieno Adera almaarufu 'Stivo Simple Boy' alikataa kumsalimia...

Historia ya kumfuatilia Baba Krismasi ilianzaje?

NA MWORIA MUCHINA Desemba 24, 1955 HISTORIA ya kufuatilia mwendo wa Baba Krismasi anaposafiri kila pembe ya dunia akipeana zawadi...

Warembo wa tattoo wadai ni vigumu kupata mume

NA RICHARD MAOSI WAREMBO wenye chale au michoro ya tattoo ambazo hazifutiki, sasa wanalia kwamba wanatengwa na wanaume ambao huwatema...

Yaya aliyetunza watoto vizuri nchini Lebanon apongezwa kwa kuizolea Kenya sifa nzuri

NA FRIDAH OKACHI YAYA Mkenya Rozah Rozalina Samson almaarufu 'Rosie', anayefanya kazi nchini Lebanon, amekuwa mtu maarufu mtandaoni...

Mvinyo wa ‘white wine’ unavyotumiwa kudumisha urembo wa ngozi

NA PAULINE ONGAJI TUNAPOKARIBIA msimu wa sherehe, mojawapo ya aina ya vinywaji ambavyo vinatarajiwa kutumiwa na wengi ni mvinyo...