• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 9:50 AM

Wimbi la mbunge Caleb Amisi lafanya mambo magumu kwa Mudavadi, Weta

NA EVANS JAOLA SIKU chache tu baada ya Gavana wa Trans Nzoia kuzindua harakati za msisimko wa kisiasa eneo la Magharibi akisuta Mkuu wa...

Wadau wapinga baadhi ya mapendekezo kwenye mswada wa marekebisho ya sheria ya IEBC ya 2024

SAMWEL OWINO Na CHARLES WASONGA WADAU kadha wamepinga baadhi ya mapendekezo yaliyomo katika mswada unaolenga kuleta mabadiiliko katika...

Raila, Ruto watofautiana kuhusu ubadilishaji matokeo

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto na kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga Jumamosi walitofautiana kuhusu iwapo marehemu...

Mvutano wa Wetang’ula na Natembeya waanza kutoa usaha

NA EVANS JAOLA MAAFISA wanne wa serikali ya Kaunti ya Trans Nzoia mnamo Jumanne walihojiwa katika makao makuu ya Idara ya Kuchunguza...

Team Kusikiza Ground: Vuguvugu jipya la kutetea masilahi ya ‘Wanjiku’

NA CHARLES WASONGA TAKRIBAN wabunge sita kutoka vyama vitatu wamebuni muungano mpya kuhakiki utendakazi wa serikali, wakidai upinzani...

Msaidizi wa Raila ajiunga na UDA

NA CHARLES WASONGA ALIYEKUWA msaidizi wa kiongozi wa Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga, Silas Jakakimba, amejiunga rasmi na...

Raila kuokoa jahazi makinda wake wa Azimio wakikwama

NA WYCLIFFE NYABERI KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka, amesema Muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya utaendelea kukosoa utawala wa Kenya...

Karua apuuza ‘madharau ndogondogo’ ya Kalonzo kusema hatoshi mboga

NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa Narc-Kenya Martha Karua, Ijumaa alipuuzilia mbali kauli ya kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka kwamba hatoshi...

Mnatoza ushuru na hamlipi madaktari, Kalonzo aishangaa serikali

NA WYCLIFFE NYABERI KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka ameitaka serikali ya Kenya Kwanza kuwalipa madaktari ili wasitishe mgomo...

Wabunge wa Kiambu wamuandaa Alice Ng’ang’a kwa ugavana 2027

NA LAWRENCE ONGARO VIONGOZI wanane kutoka Kaunti ya Kiambu wameungana katika kinachoonekana ni kumvumisha mbunge wa Thika Alice...

Kalonzo: Nimeiva kuongoza Azimio

NA WYCLIFFE NYABERI KIONGOZI wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amesema ndiye mgombea bora zaidi anayeweza kuongoza muungano wa Azimio...

Jeremiah Kioni kuendelea kubeba sufuria kichwani

NA WANDERI KAMAU KATIBU Mkuu wa chama cha Jubilee Jeremiah Kioni, amesema hatasitisha kampeni yake ya kuweka sufuria kichwani almaarufu...