Tuongeze ukarimu wetu kumi la rehema likimalizika

NA KHAMIS MOHAMED TUMEBAKISHA siku tatu pekee kwa kumi la rehema kumalizika.Tunamshukuru Mola kwa kutupatia taufiki ya kuishi hadi wakati...

Amber Ray na Kennedy Rapudo watengana

NA MWANDISHI WETU   MWANASOSHOLAITI Amber Ray na mpenziwe Kennedy Rapudo wameachana. Wapenzi hawa wawili wametangaza kuvunjika...

Wanakuza Hass Avocado kuwafaa wakazi wa Gusii

NA WYCLIFFE NYABERI IKIWA umewahi kusafiri majira ya jioni kutoka Kisii kwenda Nairobi siku yoyote ile, huenda macho yako yalitua kwenye...

Mogotio yapata ofisi ya usajili kwa mara ya kwanza

NA MERCY KOSKEI KAUNTI ndogo ya Mogotio, Baringo imepata afisi mpya ya usajili wa raia. Ufunguzi wa kituo hicho cha kusajili watoto...

Mwalimu mbunifu katika ufundishaji

NA CHRIS ADUNGO WANAFUNZI wanahitaji mazoezi mengi iwezekanavyo ili wajiamini katika usomaji na ujifunzaji wa dhana mpya. Njia rahisi ya...

TALANTA YANGU: Gwiji wa kucheza zeze

NA PATRICK KILAVUKA MATHEW Joshua, 15, alivutiwa na jinsi ala ya muziki wa kiasili Urutu (zeze) ilivyokuwa ikichezwa kwa namna ya kuifanya...

Wahuni wanaopika mlo Nakuru, wanaula kabla kuiba na kushukuru wakazi

NA RICHARD MAOSI. WAKAZI wa mtaa wa Gioto, Kaunti ya Nakuru wanaishi kwa hofu kufuatia genge la wezi linalovamia makazi yao, na kupika...

Unafahamu kuwa watangazaji wa kiume pia hujipodoa kabla kupeperusha taarifa kwenye runinga?

NA SAMMY WAWERU WATANGAZAJI wa kiume wanaosoma na kuepeperusha habari kwenye runinga, pia hujipodoa ili kuonekana nadhifu. Kando na...

WALLAH BIN WALLAH: Ukitaka kuzifanya kazi zako ziwe bora zaidi, basi lazima ujiboreshe mara kwa mara!

NA WALLAH BIN WALLAH KINOLEWACHO hupata. Na kikipata hukata! Hivyo ndivyo wasemavyo wataalamu wanaoamini na kuthamini kwamba ukitaka...

Mapenzi yanoga, Madam Boss, Akothee afichua humpigia simu mpenziwe mzungu saa tisa alfajiri

NA SAMMY WAWERU MWANAMUZIKI Esther Akoth maarufu kama Akothee amefichua kwamba humpigia simu mchumba wake mzungu alfajiri na mapema...

SHINA LA UHAI: Ugonjwa wa selimundu wasababishia familia dhiki

NA PAULINE ONGAJI KWA miaka 16 sasa, maisha yake Derrick Otieno, mwanafunzi wa kidato cha nne hapa jijini Nairobi, yamejawa na...

Jennifer Kananu Mbogori ni mwasisi wa kampuni ya kutengeneza sodo za ubora wa hali ya juu

NA MAGDALENE WANJA USAFI wakati wa hedhi ni muhimu sana kwa mwanadada au mwanamke yeyote awaye yule.  Bila shaka ni suala muhimu...