• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

Hana haraka ya kunioa rasmi japo aliahidi nikishajifungua

Shangazi; Hujambo. Nilianza kuishi na mpenzi wangu miaka miwili iliyopita baada ya kunipa mimba. Alikuwa ameniahidi tutaenda kwa wazazi...

Mwanamume ndani kwa kudaiwa kuiba za ndani

NA MWANGI MUIRURI MWANAMUME mmoja anayeshukiwa kuwa kinara wa wizi wa nguo za ndani za wanawake katika Kaunti ya Murang’a, ametiwa...

Fahamu magonjwa yanayoweza kuenea kwa kasi msimu huu wa mafuriko nchini

NA WANGU KANURI KWA wiki kadhaa sasa, tumekuwa tukishuhudia mvua kubwa ambayo imesababisha majanga tofauti nchini. Angalau watu 70...

Wanafunzi 18 wa MKU kushiriki shindano la kimataifa la Huawei

NA LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI 18 wa Chuo Kikuu cha Mount Kenya (MKU) watashiriki shindano la kimataifa la Huawei nchini China mnamo Mei...

Tambua kwa nini asali ya mkokoni imekolea utamu kuliko ya maeneo mengine

NA KALUME KAZUNGU ASALI ni zao la nyuki ambalo tangu jadi linasifika kwa utamu wake. Hutengenezwa na wadudu hao kutoka kwa mkusanyika au...

Hamna tatizo mtoto wa kiume kutumia jina la mama, mzee wa Agikuyu asema

NA FRIDAH OKACHI MWENYEKITI wa kundi la Kiama Kia Ma katika jamii ya Agikuyu tawi la Nairobi, Bw John Mugwe Wanjuhi, ameweka bayana kuwa...

Kitanda kidogo ni smaku ya ndoa, mshauri wa masuala ya mapenzi asema

NA LABAAN SHABAAN KITANDA kidogo ni bora sana kwa wanandoa kwa sababu kitasaidia kupiga hatua katika mpango wa kusuluhisha mgogoro...

Wamiliki wa nyumba wapoteza wateja mvua zikiharibu makazi

NA FRIDAH OKACHI WAMILIKI wa nyumba katika kijiji cha Karide, eneo bunge la Kikuyu, Kaunti ya Kiambu wanaendelea kuhesabu hasara...

Miaka miwili ya ndoa nasubiri mke ashike mimba kumbe anameza tembe!

Shangazi; Nimekuwa nikishangaa ni kwa nini mke wangu hapati mimba miaka miwili baada ya kumuoa. Kumbe anatumia dawa za kuzuia mimba!...

Oparanya: Mbona mna ishu na picha nilizopigwa na mpendwa wangu?

NA SINDA MATIKO "HIVI ishu ni nini haswa kuhusu picha zangu hizo nilizopigwa na mpendwa wangu kusambazwa?" Ndio majibu ya aliyekuwa...

Ruweida Obbo: Simba jike wa Lamu anayempa mtoto wa kike matumaini

NA KALUME KAZUNGU USEMI uvumao katika ulimwengu wa sasa wa ‘awezacho kukifanya mwanamume, mwanamke anaweza kukifanya hata zaidi’...

Babu, 80, arudi chuoni kusaka digrii

NA ELIZABETH OJINA MZEE mwenye umri wa miaka 80 amesajiliwa katika Chuo cha Kilimo cha Bukura kuendeleza masomo yake. Katika umri...