• Nairobi
  • Last Updated March 19th, 2024 5:55 AM

Kukosa meneja sababu yangu kuanguka jukwaani – Stivo Simple Boy

NA FRIDAH OKACHI RAPA Stephen Otieno almaarufu Stivo Simple Boy, amesema kuondoka kwa meneja wake ndio sababu ya yeye kuanguka wakati...

‘Ladha ya ndoa ya wake wengi ni kuwa wa kwanza’

NA FRIDAH OKACHI MWANAMKE mmoja ambaye aliolewa mke wa tatu, amedai kwamba ladha ya ndoa ya aina hiyo ni “wewe mwanamke kuwa wa...

Muigai wa Njoroge: Mwanamuziki anayesifika kwa nyimbo za ‘kuilainisha jamii’

NA WANDERI KAMAU JINA la mwanamuziki Muigai wa Njoroge si jipya miongoni mwa Wakenya, hasa wakazi wa ukanda wa Mlima Kenya. Ni msanii...

Korti yampa Nyashinski siku 14 kuwasilisha mkataba wa dili tamu ya Tecno

NA SINDA MATIKO MAHAKAMA ya Milimani, Nairobi imempa mburudishaji Nyamari 'Nyashinski' Ongegu makataa ya siku 14 kuwasilisha mkataba wa...

Mamake Diamond amfosi kuoa

NA SINDA MATIKO MPANGO wa mamake Diamond kumwoza mke mwanawe huyo staa wa muziki umetibuka. Esna Khan, dadake staa wa Bongo Flava...

Muziki mtamu unahitaji msanii aliyeenda shule – Span One

NA BENSON MATHEKA MWANAMUZIKI Lamaz Mbago Omollo almaarufu Span One amesema lengo lake katika tasnia ya muziki ni kuondoa fikra na dhana...

Alikiba afungua kituo cha redio na televisheni

NA WANDERI KAMAU BAADA ya kuwa kwenye tasnia ya burudani kwa miongo miwili, mwanamuziki Alikiba kutoka Tanzania ameamua kufuata nyayo za...

Pasta Ng’ang’a ‘atoa makucha’ EACC ikimwandama kuhusu ardhi ya Kanisa

NA WANDERI KAMAU MVUTANO baina ya Pasta James Ng’ang’a na Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) unaendelea kutokota kuhusu...

Zuchu aomba radhi kwa onyesho ‘lisilofaa’

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI Zuhura Othman Soud almaarufu Zuchu alilazimika kuomba radhi baada ya mamlaka kusitisha shughuli zake zote za...

Embarambamba akubali kurudi kwa laini

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa Injili Christopher Nyangwara Mosioma almaarufu ‘Embarambamba’ amesema anaacha kuvalia mavazi ya...

Askofu Yohana: Ukipata mke mcha Mungu, umepata mgodi wa dhahabu

NA MWANGI MUIRURI ASKOFU Danson Gichuhi almaarufu Yohana ambaye amegonga vichwa vya vyombo vya habari kwa kutoa mapepo kutoka kwa waumini...

Wenye saluni wajitetea ‘umbea’ wao si wa kubomoa familia

NA WANDERI KAMAU WAFANYAKAZI katika saluni wamejitokeza kujitetea dhidi ya madai ya baadhi ya wanaume kwamba gumzo linalopigwa wanawake...