NA SINDA MATIKO RAPA Octopizzo anadai kuwa sababu ya kizazi cha sasa cha wasanii kushindwa kutamba kwa muda mrefu ni uwepo wa mitandao...
NA FRIDAH OKACHI MWANAHABARI Stephen Letoo baada ya kuona yanayojadiliwa mitandaoni, ameamua kuweka zingatio kwa kuitunza ndoa yake...
NA SINDA MATIKO BAADA ya Diamond Platnumz kumtambulisha rasmi ex-wake Sarah aliyemfanya kuitunga hiti yake ya kwanza 'Kamwambie'...
NA SINDA MATIKO "HIVI ishu ni nini haswa kuhusu picha zangu hizo nilizopigwa na mpendwa wangu kusambazwa?" Ndio majibu ya aliyekuwa...
NA FRIDAH OKACHI MWANAHABARI Stephen Letoo amejibu wakosoaji wake wanaomwelekezea mishale mtandaoni kwa kuoa mke mmoja, tofauti na...
NA FRIDAH OKACHI WANAMITANDAO wameghadhabishwa na hatua ya mwanahabari Stephen Letoo kufunga ndoa na mke mmoja kinyume na mbwembwe...
NA MWANGI MUIRURI AJALI ya barabarani iliyosababisha kifo cha Joseph Mwadulo, ambaye alikuwa mwanafunzi wa Kidato cha Nne katika shule...
NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI David Mathenge almaarufu Nameless amesema presha za mashabiki kwamba yeye na mkewe Wahu walitarajia mtoto...
NA SINDA MATIKO ALIYEKUWA mumewe nyota mkongwe wa Bongo Flava Lady JayDee, mtangazaji maarufu Gardner 'Captain' Habash amefariki...
NA FRIDAH OKACHI MHUBIRI wa kanisa la Empowerment Christian Church, mjini Nairobi, Bi Lucy Natasha, amefichua kuwa alipatana na...
NA SINDA MATIKO WASWAHILI wanasema kikulacho ki nguoni mwako. Ni methali ambayo staa wa zamani wa Sol Generation Bensoul anaifahamu...
Na SINDA MATIKO COLONEL Moustapha amechoka. Rapa huyo aliyetrendi mwaka jana baada ya kuonekana akifanya kazi za mjengo, anasema...