• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 4:10 PM

Octopizzo: Wasanii wa sasa hawatoboi kisa Insta na TikTok

NA SINDA MATIKO RAPA Octopizzo anadai kuwa sababu ya kizazi cha sasa cha wasanii kushindwa kutamba kwa muda mrefu ni uwepo wa mitandao...

Stephen Letoo aachana na kitimoto cha Men’s Conference

NA FRIDAH OKACHI MWANAHABARI Stephen Letoo baada ya kuona yanayojadiliwa mitandaoni, ameamua kuweka zingatio kwa kuitunza ndoa yake...

Sarah afichua sababu ya kukatalia mbali penzi la Diamond Platnumz

NA SINDA MATIKO BAADA ya Diamond Platnumz kumtambulisha rasmi ex-wake Sarah aliyemfanya kuitunga hiti yake ya kwanza 'Kamwambie'...

Oparanya: Mbona mna ishu na picha nilizopigwa na mpendwa wangu?

NA SINDA MATIKO "HIVI ishu ni nini haswa kuhusu picha zangu hizo nilizopigwa na mpendwa wangu kusambazwa?" Ndio majibu ya aliyekuwa...

Letoo akiri ‘kuangusha’ wageni kwa kuweka hema la 10,000 pekee arusini

NA FRIDAH OKACHI MWANAHABARI Stephen Letoo amejibu wakosoaji wake wanaomwelekezea mishale mtandaoni kwa kuoa mke mmoja, tofauti na...

Mwanahabari Letoo akera wanamitandao kwa kuoa mke mmoja

NA FRIDAH OKACHI WANAMITANDAO wameghadhabishwa na hatua ya mwanahabari Stephen Letoo kufunga ndoa na mke mmoja kinyume na mbwembwe...

Msiba wa mwana wamleta hadharani ‘mpoa’ wa KarehB

NA MWANGI MUIRURI AJALI ya barabarani iliyosababisha kifo cha Joseph Mwadulo, ambaye alikuwa mwanafunzi wa Kidato cha Nne katika shule...

Usimpe mke presha ya kukuzalia kijanadume – Nameless

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI David Mathenge almaarufu Nameless amesema presha za mashabiki kwamba yeye na mkewe Wahu walitarajia mtoto...

Tanzia: Ex-mume wa Lady JayDee aaga dunia

NA SINDA MATIKO ALIYEKUWA mumewe nyota mkongwe wa Bongo Flava Lady JayDee, mtangazaji maarufu Gardner 'Captain' Habash amefariki...

Instagram ilinipa mume, asema Rev Lucy Natasha

NA FRIDAH OKACHI MHUBIRI wa kanisa la Empowerment Christian Church, mjini Nairobi, Bi Lucy Natasha, amefichua kuwa alipatana na...

Mashabiki hawapati picha kabisa Bensoul kutema Noni Gathoni na kuchukua beste yake Cindy K

NA SINDA MATIKO WASWAHILI wanasema kikulacho ki nguoni mwako. Ni methali ambayo staa wa zamani wa Sol Generation Bensoul anaifahamu...

Baada ya msoto, Colonel Moustapha atamani kurudi soko, anamisi kuwa na demu

Na SINDA MATIKO COLONEL Moustapha amechoka. Rapa huyo aliyetrendi mwaka jana baada ya kuonekana akifanya kazi za mjengo, anasema...