• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 4:40 PM

Nyamira: Wafanyakazi 79 watolewa tonge mdomoni kwa kutumia vyeti feki

NA WYCLIFFE NYABERI WAFANYAKAZI 79 wa serikali ya Kaunti ya Nyamira wanakabiliwa na hali mbaya ya kupoteza kazi na marupurupu mengine...

Wizi wa pikipiki Taita Taveta wazua hofu

NA LUCY MKANYIKA WAHUDUMU wa bodaboda katika Kaunti ya Taita Taveta wamelalamikia kurejea kwa visa vya wizi wa pikipiki katika eneo...

Samaki Wakubwa: Mapapa wa unyakuzi wa ardhi Pokot Magharibi kukiona

NA OSCAR KAKAI WANYAKUZI wa mashamba katika Kaunti ya Pokot Magharibi wamemulikwa na serikali kuu pamoja na ile ya kaunti wakiambiwa...

Msichana aliyeuawa na majangili azikwa kijijini Karawali

NA OSCAR KAKAI MSICHANA wa umri wa miaka saba aliyeuawa na majangili katika eneo la Kamologon, Kaunti ya Pokot Magharibi wiki jana...

Moto wateketeza nyumba 50 Kangemi

NA FRIDAH OKACHI MALI ya thamani isiyojulikana imeteketea kwenye moto uliotokea Waruku, Kangemi, Kaunti ya Nairobi.  Mkasa huo wa...

Taka zafunga barabara Murang’a, panya wakionekana waziwazi

NA MWANGI MUIRURI  UTUPAJI taka kiholela katika Kaunti ya Murang'a umezidi, katika visa vingine barabara za mjini zikigeuzwa...

Maji kwa vipimo Thika mitambo ya kupampu ikisombwa na mafuriko

NA MWANGI MUIRURI WAKAZI wa mji wa Thika unaounuiwa kugeuzwa kuwa jiji hivi karibuni, wamepigwa na butwaa baada ya kuelezwa kwamba...

Madiwani sita wa Murang’a hatarini kusukumwa jela kwa kudaiwa kuzua ghasia

NA MWANGI MUIRURI MADIWANI sita wa Kaunti ya Murang'a sasa wako katika hatari ya kufungwa jela baada ya kuamrishwa na polisi waandikishe...

Zaidi ya maskwota 1,200 eneo la Kisauni kufurushwa

NA BRIAN OCHARO ZAIDI ya maskwota 1,200 wanaoishi kwenye kipande cha ardhi cha ekari 341 huko Kisauni huenda wakafurushwa katika eneo hilo...

Gavana Nassir na maafisa wake wawili hatarini kufungwa

NA BRIAN OCHARO GAVANA wa Mombasa Abdulswamad Nassir, Wakili wa Kaunti Jimmy Waliaula na Afisa Mkuu Mtendaji wa Ardhi Mohammed Hussein...

Watu saba waokolewa baada ya lori lao kusombwa na mafuriko

NA MWANDISHI WETU WATU saba wameokolewa kutoka kwa Mto Kwa Muswii na kupelekwa katika hospitali ya Sultan Hamud, Shirika la Msalaba...

Basari: Mwago awapanga wanafunzi kutoka familia maskini

NA SAMMY KIMATU WATOTO 2,000 katika wadi ya Landi Mawe na wenzao kutoka wadi ya Nairobi South, ambao wametoka katika familia maskini,...