NA WYCLIFFE NYABERI WAFANYAKAZI 79 wa serikali ya Kaunti ya Nyamira wanakabiliwa na hali mbaya ya kupoteza kazi na marupurupu mengine...
NA LUCY MKANYIKA WAHUDUMU wa bodaboda katika Kaunti ya Taita Taveta wamelalamikia kurejea kwa visa vya wizi wa pikipiki katika eneo...
NA OSCAR KAKAI WANYAKUZI wa mashamba katika Kaunti ya Pokot Magharibi wamemulikwa na serikali kuu pamoja na ile ya kaunti wakiambiwa...
NA OSCAR KAKAI MSICHANA wa umri wa miaka saba aliyeuawa na majangili katika eneo la Kamologon, Kaunti ya Pokot Magharibi wiki jana...
NA FRIDAH OKACHI MALI ya thamani isiyojulikana imeteketea kwenye moto uliotokea Waruku, Kangemi, Kaunti ya Nairobi. Mkasa huo wa...
NA MWANGI MUIRURI UTUPAJI taka kiholela katika Kaunti ya Murang'a umezidi, katika visa vingine barabara za mjini zikigeuzwa...
NA MWANGI MUIRURI WAKAZI wa mji wa Thika unaounuiwa kugeuzwa kuwa jiji hivi karibuni, wamepigwa na butwaa baada ya kuelezwa kwamba...
NA MWANGI MUIRURI MADIWANI sita wa Kaunti ya Murang'a sasa wako katika hatari ya kufungwa jela baada ya kuamrishwa na polisi waandikishe...
NA BRIAN OCHARO ZAIDI ya maskwota 1,200 wanaoishi kwenye kipande cha ardhi cha ekari 341 huko Kisauni huenda wakafurushwa katika eneo hilo...
NA BRIAN OCHARO GAVANA wa Mombasa Abdulswamad Nassir, Wakili wa Kaunti Jimmy Waliaula na Afisa Mkuu Mtendaji wa Ardhi Mohammed Hussein...
NA MWANDISHI WETU WATU saba wameokolewa kutoka kwa Mto Kwa Muswii na kupelekwa katika hospitali ya Sultan Hamud, Shirika la Msalaba...
NA SAMMY KIMATU WATOTO 2,000 katika wadi ya Landi Mawe na wenzao kutoka wadi ya Nairobi South, ambao wametoka katika familia maskini,...