Mradi wa majumba Kijani Ridge watunukiwa sifa

NA LAWRENCE ONGARO TATU CITY imetangaza kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa majumba ya Kijani Ridge uliogharimu takribani Sh1...

Wakazi 160,000 Tana River waumizwa na njaa

ALEX KALAMA Na STEVEN HEYWOOD ABOUD Musa, mshirikishi wa Mamlaka ya Kitaifa ya Kukabiliana na Ukame (NDMA) katika Kaunti ya Tana River,...

Majonzi manusura wa ajali iliyohusisha wanachuo wakisimulia kilichotokea

DANIEL OGETTA Na MAUREEN ONGALA MANUSURA wa ajali iliyohusisha wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Pwani iliyotokea katika eneo la Kayole,...

Maafisa wa polisi au majambazi?

NA CHARLES WASONGA POLISI wamelaumiwa kwa kuwashambulia kikatili wanahabari na raia wasio na hatia wakati wa maandamano ya...

Majeraha ndio yaliyoua Jeff – Upasuaji

NA MERCY KOSKEI UPASUAJI wa pili kwenye mwili wa Geoffrey Mwathi (Jeff) umefichua kwamba alikufa kutokana na majeraha kichwani na pia...

Bunge laidhinisha hoja kukarabati Coast General

NA FARHIYA HUSSIEN BUNGE la kaunti ya Mombasa limeidhinisha hoja inayoitaka Serikali ya Kitaifa kuwekeza fedha za kukarabati na kupanua...

Wanajeshi waliotumwa DRC kukawia zaidi

NA MARY WAMBUI WANAJESHI wa Kenya waliotumwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) chini ya Kikosi cha Jumuiya ya Afrika Mashariki...

Uganda italinda Urusi – mwanawe Museveni

Na AFP KAMPALA, Uganda MWANAWE Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Muhoozi Kainerugaba, ametangaza kuwa nchi yake itatuma wanajeshi kulinda...

CJ Koome kuteua majaji watakaoamua hatima ya CASs

NA RICHARD MUNGUTI KESI inayopinga kuteuliwa kwa mawaziri wasaidizi (CASs) 50 na Rais William Ruto imepelekwa kwa Jaji Mkuu Martha Koome...

Orodha ya fidia kwa wavuvi yasababisha kilio

NA KALUME KAZUNGU WAVUVI walioanza taaluma yao baada ya kipindi cha kuanzwa na kukamilika kwa ujenzi wa viegesho vitatu vya kwanza vya...

Malenga akariri mashairi yenye maudhui ya Ramadhani

NA KALUME KAZUNGU KUTANA na Hashim Said Mohamed, almaarufu DJ Fakhrudin,36. Ni malenga aliyejitolea kuupamba msimu wa Ramadhani kisiwani...

Mwadime akosolewa kwa kuajiri washauri 7

NA LUCY MKANYIKA HATUA ya Gavana wa Taita Taveta, Bw Andrew Mwadime, kuongeza washauri wanne zaidi katika serikali yake hivi majuzi,...