Man-City watandika Liverpool 4-1 katika EPL

NA MASHIRIKA MANCHESTER City waliweka hai matumaini ya kuhifadhi taji la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu kwa kukomoa Liverpool 4-1...

STAA WA SPOTI: ‘Neymar’ wa Falling Waters ya Barcelona anawika Ligi 2

NA RUTH AREGE JANE Njeri maarufu Neymar ni miongoni mwa washambulizi hodari wanaotamba Ligi ya Kitaifa Divisheni ya Kwanza. Njeri...

Barcelona wasuka mpango wa kurejesha Lionel Messi ugani Camp Nou

Na MASHIRIKA NAIBU Rais wa Barcelona, Rafael Yuste, amefichua mpango wa miamba hao wa soka ya Uhispania kumsajili upya supastaa Lionel...

Chepng’etich, Kwemoi kutetea mataji ya Istanbul Half Marathon

Na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa zamani wa rekodi ya dunia mbio za kilomita 21, Ruth Chepng’etich amethibitisha kutimka N Kolay Istanbul...

Clothier: Kuna kazi kubwa ya kufanywa kumaliza matumizi ya pufya

AYUMBA AYODI Na GEOFFREY ANENE AFISA Mkuu wa Kitengo cha Maadili cha Shirikisho la Riadha Duniani (AIU) Brett Clothier amejaa imani katika...

Kenya yafikisha dhahabu sita Riadha za Dunia za Wakongwe

Na GEOFFREY ANENE WATEMBEAJI Grace Wanjiru na Erick Sikuku wamevuna medali katika kilomita 10 na kufikisha medali tisa ambazo Kenya...

Ulinzi Starlets kukabana koo na Bunyore Starlets

NA AREGE RUTH WANAJESHI wa Ulinzi wanatazamia kuandikisha ushindi wao wa tano nyumbani msimu huu, watakapokabana koo na Bunyore Starlets...

Obiri mawindoni Boston kusaka Sh19 milioni

Na GEOFFREY ANENE MKAZI wa Amerika, Hellen Obiri amethibitishwa kushiriki mbio za pili za Marathon Kuu Duniani (WMM) msimu huu Boston...

Manchester City na Liverpool vitani kesho EPL

NA MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza LIGI Kuu ya Uingereza itarejea hapo kesho Jumamosi baada ya wiki mbili huku macho yote yakiwa ugani...

Ni wakati wa Harambee Starlets kung’aa – Beki

NA AREGE RUTH BEKI wa kushoto wa Harambee Starlets Enez Mango anasema huu ndio wakati wa timu hiyo ya taifa kuonyesha ubabe kimataifa...

Ushindi wa Wanjiru waipa Kenya dhahabu ya 3 Poland

Na GEOFFREY ANENE BINGWA mara sita wa Afrika, Grace Wanjiru ameshindia Kenya medali ya tatu ya dhahabu kwenye Riadha za Dunia za...

Essie Akida kuongoza mashambulizi ya Harambee Starlets dhidi ya Albania

NA AREGE RUTH KOCHA wa muda wa Harambee Starlets Godfrey 'Solo' Oduor ametaja kikosi cha muda cha Starlets cha wachezaji 33 ambao...