• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 3:31 PM

Farasi ni wawili sasa EPL ‘Ndovu’ Arsenal wakihitajika kukomoa Spurs kwa vyovyote vile

NA TOTO AREGE KOCHA wa Arsenal Mikel Arteta amewaomba vijana wake kuweka ushindani wao wa kaskazini mwa London kando, wanapojiandaa...

Arsenal dimbani dhidi ya Spurs ikilenga kuzuia pancha

Na MWANGI MUIRURI HOFU inayoandamana na taharuki imetanda kwa mashabiki wa klabu ya Arsenal ambayo kwa misimu kadhaa sasa, imekuwa...

Ari ya Manchester United kucheza Europa yatumbukia nyongo

Na MWANGI MUIRURI  HUENDA Manchester United ikose kumaliza ndani ya saba-bora katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) baada ya kukabwa sare...

Liverpool wakabwa na West Ham United

NA MASHIRIKA KLABU ya Liverpool imekabwa na West Ham United kwa sare ya 2-2 ugani London Stadium mnamo Jumamosi. Liverpool wamepata...

Manchester United darasani kwa mtihani dhidi ya Burnley

Na MWANGI MUIRURI  MASHABIKI wa Arsenal na Chelsea nchini wameunda muungano wa kushabikia timu ya Burnley ikivaana na Manchester United...

Askofu Yohana amtaja Kai Havertz kuwa ni mwokozi pale Arsenal

Na MWANGI MUIRURI WAKATI mchezaji Kai Havertz alinunuliwa kutoka Chelsea mwaka 2023 kuwajibikia timu ya Arsenal katika Ligi Kuu ya...

Liverpool kwenye mizani ya West Ham United

NA MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA LIVERPOOL watasonga hadi nafasi ya pili kwenye jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa saa kadha iwapo...

Kwa Man Utd sherehe Liverpool ikirambwa

MANCHESTER, Uingereza WACHEZAJI wa Manchester United wanafaa kukubali kukosolewa kama wanavyopongezwa tu, nahodha Bruno Fernandes amesema...

Manchester United hawajui kati ya Arsenal na Chelsea waunge gani

Na MWANGI MUIRURI KUCHANGANYIKIWA ndio hali ya sasa kwa mashabiki wa Manchester United wakati Arsenal inajiandaa kulimana na Chelsea mnamo...

Man United walivyoponea kupigwa rungu na limbukeni Coventry gozi la FA

NA MASHIRIKA MANCHESTER United watahitaji kurekebisha makosa mengi waliyofanya kwenye nusu-fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka la...

K’Ogalo walemea Ingwe tena Tusker ikipepeta Ulinzi

NA JOHN ASHIHUNDU GOR Mahia wanaendeleza rekodi yao nzuri dhidi ya AFC Leopards walipoandikisha ushindi wa 1-0 mechi ya Ligi Kuu (KPL)...

Peres Jepchirchir aweka rekodi mpya Marathon ya wanawake

Na AYUMBA AYODI WAKENYA Peres Jepchirchir na Alexander Mutiso Munyao walipata ushindi wao wa kwanza katika mbio za London Marathon huku...