• Nairobi
  • Last Updated March 19th, 2024 9:41 AM

Je, Joho atarejesha nyota ya Pwani katika siasa za kitaifa?

NA WANDERI KAMAU TANGAZO la kiongozi wa Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga, kwamba atawaachia uongozi wa chama hicho magavana...

OKA yafufuka kuipa nguvu Azimio – Kalonzo

NA CHARLES WASONGA UFUFUZI wa muungano wa One Kenya Alliance (OKA) ulioshirikiana na muungano wa Azimio la Umoja kuunda Azimio la...

Gachagua @59: Mbele iko sawa?

NA MWANGI MUIRURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua mnamo Februari 28, 2024, aliadhimisha siku ya kuzaliwa ambapo alifikisha umri wa miaka...

Uwezekano wa handisheki ya Ruto na Raila kuhusu AU bado wazua wasiwasi Mlimani

Na MWANGI MUIRURI LICHA ya eneo la Mlima Kenya kung’ang’ania kwamba Rais William Ruto asiwahi kuthubutu kujiingiza katika handisheki...

Upatanishaji wa Uhuru, Gachagua washika kasi

NA WANDERI KAMAU JUHUDI za kuwaunganisha tena Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta na Naibu Rais Rigathi Gachagua zimeshika kasi, hilo likitajwa...

Mgawanyiko Mlimani: Hofu matukio ya 1992, 1997 yanajirudia

Na LUCAS BARASA HOFU ya migawanyiko iliyopelekea Mlima Kenya kubaki kwenye upinzani katika uchaguzi wa 1992 na 1997 na kudumaa...

Gachagua alivyomshushia Nyoro makombora siku ya mwisho ziara ya Rais Mlimani

STEPHEN MUNYIRI NA LABAAN SHABAAN MAKABILIANO ya ubabe kati ya Naibu Rais Rigathi Gachagua na Mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro yanaendelea...

Pesa, madai ya usaliti yanavyochongea ukuruba wa magavana na maseneta kuyeyuka

NA WAANDISHI WETU UKURUBA mkubwa wa kisiasa uliokuwepo baina ya magavana na maeneta wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2022 katika...

MIKIMBIO YA SIASA: Sukari ya Magharibi kiazi moto kwa Ruto

NA CHARLES WASONGA MPANGO wa serikali wa kufufua sekta ya sukari Magharibi mwa Kenya ambao Rais William Ruto alitaraji kuutumia...

PK Salasya: Kwake kila hafla ni shajara ya vitimbi

NA WANDERI KAMAU ALIPOCHAGULIWA kama mbunge na wakazi wa eneobunge la Mumias Mashariki, hilo lilionekana kuwa mwanzo mpya wa kisiasa kwa...

Rais Ruto aonya wanaotaka kuzima nyota yake

NA MWANGI MUIRURI RAIS William Ruto mnamo Jumatano amelia kwamba baadhi ya mabwanyenye almaarufu 'masonko' nchini, wameungana kuzima...

Kivuli cha Uhuru kilivyo tishio kwa Gachagua Mlima Kenya

NA MOSES NYAMORI MKONO wa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta kwenye harakati za kisiasa zinazoendelea katika eneo la Mlima Kenya, unatishia...