• Nairobi
  • Last Updated March 19th, 2024 5:55 AM

Wanasayansi wapigia debe ulaji wa wadudu

NA HELLEN SHIKANDA HUKU idadi ya binadamu ikiendelea kuongezeka ulimwenguni na chakula kuwa haba, wanasayansi wamebaini kuwa kula wadudu...

Tambua ugonjwa wa ‘appendicitis’ unaonyemelea watu kimya kimya

NA WANGU KANURI KAREN Nyambura anakumbuka kuwa mnamo mwezi wa Septemba mwaka wa 2008, alianza kuhisi uchungu mwingi upande wa kulia chini...

Magari ya umeme yanapunguza uharibifu wa mazingira na vifo, ripoti ya WHO yaonyesha

NA PAULINE ONGAJI NYUMBANI kwake katika mtaa wa Kawangware, Kaunti ya Nairobi, Bw Chris*, anajiandaa kuelekea kazini, ambapo anahudumu...

Kinachosababisha uvimbe kwenye sehemu za siri za akina dada

NA PAULINE ONGAJI Kama mwanamke, kuna uwezekano wa wakati mmoja kukumbwa na uvimbe unaojitokeza kila mara kwenye sehemu za siri. Ni jambo...

Teknolojia mpya ya PEM yatoa vipimo vya uhakika zaidi kwa kansa

NA PAULINE ONGAJI WANASAYANSI wamegundua mbinu mpya ya kutambua kansa ya matiti huku ikipunguza uwezekano wa matokeo ya kupotosha. Kwa...

Namna ya kujikinga dhidi ya miale hatari ya jua

NA LABAAN SHABAAN JUA kali limekuwa likishuhudiwa sehemu tofauti nchini kiasi cha kufanya watu kuogopa kutoka nje ila wanalazimika tu...

Sababu za baadhi ya watu kuogopa giza

NA WANGU KANURI MTU mzima mmoja kati ya wanne bado hulala taa zikiwa wazi huku wengine wakikimbia kunapokuwa na giza, utafiti...

Mwanamume aomba asaidiwe kufa sababu ya mahangaiko ya kuugua selimundu

Na HELLEN SHIKANDA MWANAMUME anayeugua maradhi ya selimundu sasa amehiari kufa ili apate utulivu kutokana na uchungu anaopitia baada ya...

Kila mara nahisi mkojo hauishi kwenye mrija!

Mpendwa Daktari,Mimi hutingisha uume wangu baada ya kukojoa ilhali kila wakati mimi huhisi kana kwamba mkojo umesalia. Je tatizo laweza...

Jamii yairai familia isiyoamini tiba za kisasa ibadili msimamo

NA FRIDAH OKACHI FAMILIA moja katika eneo la Ngando, eneobunge la Dagoretti Kusini, haijakumbatia matibabu ya kisasa...

Valentino: Wanaume wenye mabibi wengi wataka hakikisho SHIF itawajali

NA MAUREEN ONGALA WANAUME wenye wake kuanzia wawili kuendelea wameitaka Wizara ya Afya kueleza namna ambavyo familia zao zitafaidika...

Familia zahangaishwa na ‘ugonjwa’ wa wazee kupotea jijini

NA FRIDAH OKACHI IMEBAINIKA kwamba baadhi ya wazee, waume kwa wake, hukumbwa na matatizo ya kusahau njia wanapokuwa wametoka nyumbani...