• Nairobi
  • Last Updated March 19th, 2024 10:15 AM

Henry Chakava: Lenzi iliyowaweka soko Ngugi wa Thiong’o, Chinua Achebe katika Fasihi

NA WANDERI KAMAU KIFO cha mchapishaji vitabu Henry Chakava mnamo Ijumaa, kimefunga ukurasa wa mchapishaji wa kipekee, aliyejitosa kwenye...

Mchapishaji vitabu maarufu, Henry Chakava aaga dunia

NA WANDERI KAMAU MCHAPISHAJI maarufu wa vitabu nchini kwa muda mrefu, Dkt Henry Chakava, ameaga dunia. Dkt Chakava,77, ambaye hadi kifo...

KAULI YA WALLAH: Harakati za kila mwanadamu ni kutafuta jinsi ya kuishi vizuri duniani

Na WALLAH BIN WALLAH TUSISAHAU na kujisahau kwamba shida ni nyingi kuliko furaha za dunia. Furaha ni chembechembe ndogo ukilinganisha na...

Unesco mbioni kutambua Mwazindika, ngoma ya jadi Taita Taveta

NA LUCY MKANYIKA JUHUDI zinaendelezwa ili ngoma ya kitamaduni ya jadi Taita Taveta inayojulikana kama Mwazindika itambuliwe na kulindwa...

NDIVYO SIVYO: Neno ‘hakuna’ lisitumiwe badala ya kikanushi ‘si’

SEHEMU YA KWANZA Na ENOCK NYARIKI AGHALABU niliwasikia baadhi ya watu hasa wazee wakitumia neno ‘hapana’ kuwaasa wengine dhidi ya...

Prof Katana awataka walimu kutowatwika wazazi lawama zote za moto shuleni

NA MAUREEN ONGALA ALIYEKUWA mwenyekiti wa Bodi ya Elimu ya Kaunti ya Kilifi Gabriel Katana amewataka wasimamizi wa shule za upili...

Watanzania walemea Wakenya katika tuzo za Fasihi

NA WANDERI KAMAU WATANZANIA waling’aa kwenye mashindano ya 2023 ya Tuzo ya Fasihi ya Safal-Cornell, kwa kuibuka washindi kwenye vitengo...

Neno ‘baadhi’ lisitumiwe kurejelea kitu kimoja miongoni mwa vingi

NA ENOCK NYARIKI NINADHANI vyombo vya habari vilikuwa vikiarifu jinsi baadhi ya maafisa wa kaunti walivyotumia mgao wa fedha za kaunti kwa...

NGUVU ZA HOJA: Tafsiri na ukalimani zijumuishwe katika mtaala wa shule za upili

NA PROFESA JOHN KOBIA UTEKELEZAJI wa mtaala wa Umilisi katika mfumo wa elimu unaendelea ingawa kuna changamoto nyingi. Wanafunzi wa...

Wanafunzi 25 waliokosa KCPE kujiunga na shule za upili

NA GEORGE ODIWUOR WANAFUNZI 25 waliokosa kufanya Mtihani wa Kitaifa wa Darasa la Nane (KCPE 2023) katika eneobunge la Homa Bay...

Wito wanafunzi wa vyuo vikuu wasitengwe na serikali, wafadhili

NA ALEX KALAMA WADAU katika sekta ya elimu kaunti ya Kilifi, wameitaka serikali na mashirika ya kijamii kutenga na kuelekeza fedha zaidi...

Mwanafunzi wa sanduku tupu aliyezoa B+ apata mfadhili

NA GEORGE ODIWUOR LEVIS Otieno aligonga vichwa vya habari mwaka 2020 aliporipoti katika Shule ya Upili ya Kanga, kaunti ya Migori...