• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Wanafunzi 18 wa MKU kushiriki shindano la kimataifa la Huawei

NA LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI 18 wa Chuo Kikuu cha Mount Kenya (MKU) watashiriki shindano la kimataifa la Huawei nchini China mnamo Mei...

Changamoto tele shule zikitarajiwa kufunguliwa

NA WINNIE ATIENO SHULE zitafunguliwa rasmi kuanzia Jumatatu kwa muhula wa pili huku taasisi za masomo zikikumbwa na changamoto...

Shule mama lao kwa idadi kubwa na baba lao kwa matokeo Lamu

NA KALUME KAZUNGU SHULE ya Lake Kenyatta, Kaunti ya Lamu ni yenye fahari tele sio tu kutokana na kwamba inabeba hadhi au jina la Rais...

‘Taifa Leo’ linaendana na wakati tangu kuzinduliwa kwake – Wazee

NA KALUME KAZUNGU “Kumekucha! Ninapolisoma gazeti la Taifa Leo mimi binafsi huhisi kumepambazuka.” Hiyo ni kauli ya mzee na babu wa...

Afueni yaja Machogu akizitaka shule kupunguza karo

NA WINNIE ATIENO KARIBU wiki moja kabla ya shule kufunguliwa kwa muhula wa pili, serikali sasa inataka wamiliki wa taasisi za elimu za...

Mhadhiri afichua jinsi Kiswahili kinavyomvunia noti nchini Amerika

NA PETER CHANGTOEK PROFESA David Kyeu ni mwandishi aliyebobea katika Kiswahili na Kiingereza, lugha ambazo zina umuhimu mkubwa katika...

Mikakati ya kuzima wanafunzi wanaotumia ChatGPT kufanya udanganyifu

NA WANDERI KAMAU KATIKA ulimwengu wa sasa ambapo mpenyo wa teknolojia unaendelea kushika kasi, wahadhiri katika vyuo vikuu tofauti nchini...

Mhadhara wa kumuenzi Prof Ken Walibora sasa kufanyika Aprili 9

NA WANDERI KAMAU MHADHARA wa Umma wa kumuenzi marehemu Prof Ken Walibora, uliopangiwa kufanyika Aprili 10, 2024, umeratibiwa upya, ambapo...

Prof Mukoma wa Ngugi: Kufunguka mateso aliyopitia mama kunanipa nguvu

NA WANDERI KAMAU PROFESA Mukoma wa Ngugi, anayetambulika kwa fani ya Fasihi alisema wiki iliyopita kwamba kimya kuhusu hali ya mamake...

Helb na KUCCPS kuunganishwa kuzaa taasisi moja

NA DAVID ADUDA BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu (Helb) na Halmashauri ya Kuwateua Wanafunzi Kujiunga na Vyuo Vikuu na Vyuo Anuwai (KUCCPS),...

Mhadhara wa umma kuandaliwa kumuenzi Prof Ken Walibora

NA WANDERI KAMAU WAKEREKETWA wa Kiswahili nchini wanapanga kuandaa mhadhara wa kwanza wa umma kumuenzi marehemu Prof Ken Walibora,...

Henry Chakava: Lenzi iliyowaweka soko Ngugi wa Thiong’o, Chinua Achebe katika Fasihi

NA WANDERI KAMAU KIFO cha mchapishaji vitabu Henry Chakava mnamo Ijumaa, kimefunga ukurasa wa mchapishaji wa kipekee, aliyejitosa kwenye...