• Nairobi
  • Last Updated March 19th, 2024 6:55 AM

Wito Serikali iwezeshe wakulima wadogo kutumia sola kwa uzalishaji

NA CHARLES WASONGA SERIKALI imetakiwa kuwawezesha wakulima wadogowadogo kutumia kawi endelevu yenye gharama nafuu ili kuwapunguzia...

Ugali wa Kenya ulivyovutia mgeni kuwekeza kwenye biashara ya viatu nchini

NA SAMMY WAWERU  VINCENT Ndayishemeze, ni kijana barobaro raia wa Burundi ambaye amekuwa nchini kwa muda wa mwaka mmoja.  Ni...

Wengi Lamu wakimbilia kazi ya kutoa magamba ya samaki

NA KALUME KAZUNGU WAKAZI wa Lamu wameibukia mbinu ya kupara samaki kama njia mojawapo ya kujipatia mtaji kukabiliana na hali ngumu ya...

Wakulima kutozwa ushuru wawasilishapo mazao kwa vyama vya ushirika

NA CHARLES WASONGA WAKULIMA na wafugaji sasa ndio tabaka la Wakenya ambao wataathiriwa na mzigo mzito wa kutozwa ushuru baada ya...

Mtaalamu wa IT auza biskuti akiendelea kusaka ajira

NA TOBBIE WEKESA MSIMU huu ambapo Wakenya wanajiunga na ulimwengu kusherehekea Krismasi na kuendelea na shamrashamra za kuukaribisha...

Namna ya kuandaa nyama ya mutura kulika msimu wa Krismasi

NA LABAAN SHABAAN KATIKA barabara ndogo mkabala na Barabara Kuu ya Thika Superhighway hatua chache tu kutoka eneo la Bypass kuelekea mtaa...

Kijana aliyeunga listi ya ‘40 under 40’ ashirikiana na chuo kikuu kuanzisha kiwanda cha biskuti za samaki

NA MAUREEN ONGALA CHUO Kikuu cha Pwani katika Kaunti ya Kilifi kimesifu aliyekuwa mwanafunzi wa chuo hicho kwa kuunga listi ya '40 Under...

Hajuti kamwe kuuza makabeji sokoni Kongowea

NA CHARLES ONGADI MTAFUTAJI hachoki na akichoka keshapata, ndivyo ilivyo kwa Elijah Kailikia Kithela,34, mfanyabiashara wa mboga aina ya...

Utaoshwa! Hisia mseto, wasiwasi kufuatia kuzinduliwa kwa apu inayobatilisha jumbe za Mpesa

NA MARY WANGARI UTAHITAJIKA kuwa makini zaidi iwapo wewe ni mfanyabiashara anayetumia mbinu za kielektroniki kupokea malipo kutoka kwa...

Viwanda vya chai vyabaki pweke Murang’a wakulima wakiuza majani mabichi kwa pesa za haraka

KNA na SAMMY WAWERU BIASHARA ya kuchuuza majanichai mabichi maeneo yanayolimwa zao hilo katika Kaunti ya Murang’a imesababisha baadhi ya...

Kwa mara ya kwanza akina mama wa Kibajuni kisiwani Pate wajihusisha na ufugaji wa nyuki

NA KALUME KAZUNGU TANGU JADI, jamii ya Waswahili wa asili ya Kibajuni katika Kaunti ya Lamu haijakuwa ikiwapa kipaumbele wanawake...

Ufugaji samaki wamfaidi licha ya changamoto tele

NA PAULINE ONGAJI MWAKA wa 2008, Bi Faith Kanaya Buluma, 55, mkazi wa kijiji cha Nangina, Kaunti ya Busia, aliamua kuelekea katika Ziwa...