TAIFA LEO Logo
  • Habari
    • Habari za Kitaifa
    • Habari za Kaunti
    • Kimataifa
  • Siasa
  • Maoni
  • Makala
    • Afya na Jamii
    • Lugha, Fasihi na Elimu
    • Akili Mali
    • Jamvi La Siasa
    • Shangazi Akujibu
    • Bambika
    • Pambo
    • Dimba
  • Dondoo
  • Bi Taifa
  • Mashairi
  • Michezo
  • NIE Shuleni
  • ePaper
NiE Shuleni

Ikuu Girls High School Chuka, Tharaka Nithi

October 23rd, 2025 Ilikuwa raha isiyo kifani miongoni mwa wanafunzi hawa wa Shule ya Upili ya Ikuu Girls Chuka baada ya kuhamasishwa kuhusu manufaa ya mradi wa Newspaper in Education (NiE) katika safari yao ya elimu.
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Ikuu Girls iliyoko Kaunti ya Tharaka Nithi wakifurahia kupigwa picha wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE). PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Ikuu Girls wakichangamkia maswali ya chemshabongo wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Afisa wa mauzo wa Nation Media Group (NMG), Bw Nicholas Muli, akimtuza mwanafunzi shati-tao la Taifa Leo baada ya kujibu swali la chemshabongo ipasavyo wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Upili ya Ikuu Girls, Bi Elizabeth Mugambi, akipekua safu mbalimbali gazetini. PICHA| CHRIS ADUNGO
Baadhi ya walimu wa Shule ya Upili ya Ikuu Girls wakisoma nakala zao za magazeti siku ya kuzinduliwa rasmi kwa mradi wa Newspapers in Education (NiE). PICHA| CHRIS ADUNGO
Baadhi ya wanafunzi waliotuzwa kofia na kalamu kwa kujibu maswali kwa usahihi wakati wa hamasisho la NiE wakifurahia kupigwa picha ya pamoja. PICHA| CHRIS ADUNGO
TAIFA LEO Logo

Mitandao ya kijamii

Maarufu sana

Tanzania yaomboleza kifo cha mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir Hassan

September 7th, 2026

Mwenye nyumba ya ‘Bikira Maria’ Kisii aibomoa, adai kuchoshwa na mamia ya ‘mahujaji’

September 7th, 2026

Maafisa wa michezo wa zamani kushtakiwa kwa Sh330m zilizopotea wakati wa CHAN

September 8th, 2026

Usikose

MAONI: Yaliyompata Kindiki yanaonesha uhuni wa kisiasa hauna mipaka

September 14th, 2026

Arsenal yatangaza haitacheka na mtu baada ya kutolewa kijasho chembamba EPL

September 14th, 2026

MAONI: Rais Ruto alifanya vyema kufafanua binafsi suala la wageni nchini

September 14th, 2026
Copyright © 2026 Nation Media Group. All rights reserved.