Shangazi Akujibu

SHANGAZI AKUJIBU: Mke anasema sahani 2 nilizopasua zitaiponza ndoa yetu

Na SHANGAZI December 12th, 2025 Kusoma ni dakika: 1

SWALI: Vipi shangazi. Mke wangu ameniambia nimevuruga amani ya ndoa yetu kwa kupasua sahani mbili. Naogopa kuna jambo analoficha. Nipe ushauri.

Jibu: Huenda kuna jambo fiche. Zungumza naye kwa utulivu ili ujue kiini cha hasira yake.

IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO